Vasco wa degamer
Senior Member
- Feb 21, 2016
- 194
- 144
Sitaki kuelezea zaidi nimeamua kukimbia
Ole wako weekend utuletee hii habari kwenye comed uchwara yenu.Noma sana
Nini chanzo?Mimi nanawa maji hapa, Kuna bomu moja lilipigwa hapa la machozi balaa
Sitaki kuelezea zaidi nimeamua kukimbia
Siku chache zilizopita dereva bajaj waliamuliwa kutotumia barabara kuu badala yake watumie barabara za pembeni, inasemekana walikaidi amri hiyo ikapelekea baadhi yao kusombwa na kupelekwa mahabusu,
Leo kesi yao ilikuwa inasikilizwa ikabidi dereva bajaj wenzao wakusanyike kwa umoja wao kwenda kufatilia kesi hiyo ikiwa nipamoja na kulazimisha wenzao wapewe dhamana kitu ambacho kimeshindikana na kusababisha vurugu hili.![]()
View attachment 446155