punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Evangelical Pentecost Church ( TEC ) ??????????
Hiyo TEC hapo maana yake nini jamani? Ha ha haa! Kitendawiliiii......
Hiyo TEC hapo maana yake nini jamani? Ha ha haa! Kitendawiliiii......
Hawa nao msaada less, tangu mwaka 2006 wanahiyo list wamekaa nayo?
Watoto au wa Tanzania wangapi wameangamia tangu wawajue hao wauza unga?
Hawa pia wanatakiwa kuchukuliwa hatua kwa kuficha waharifu kwa muda wote huu 5 years.
Msanii mwingine naye kaibuka huyu. Labda kama na yeye ni muuzaji aliyeokoka. Hata hivyo na wenzie tangu 2006 labda waliokoka na kuacha. Kwa nini hakutaja tangu 2006. Alitunza orodha hiyo ili ije iweje?Amesema walimpelekea orodha tangu 2006.
rais ana orodha yake mwaka wa tano huu,nafikiri anawaombea balaa kwa mungu.
Huyu naye ametaka vyombo vya habari vitutangazie dhehebu lake tujue kwamba nalo lipo kati ya madhehebu yanayochukua kasi Tz.
Swali langu dogo kwake mheshimiwa huyo ni je kama aliwafahamu alikuwa wapi siku zote kutaja? au ana ushirika na JK kiasi kwamba walikubaliana kwamba nikichokoza mjadala wewe wataje? Haya bwana ngoja tusubiri tuone kama atatwambia ni wakina nani kama si story kama za rafikiye Kikwete!
Evangelical Pentecost Church ( TEC ) ??????????
Hiyo TEC hapo maana yake nini jamani? Ha ha haa! Kitendawiliiii......
Afwadhali mchungaji aseme kabisa kabisa, wachungaji, maaskofu, waumini, mashehe, watumishiwa usalama, wafanyibiashara. Taja wote, lakini angalia wasije wakakusukulize kama nanihii.:shut-mouth:
Huyu si mchungaji. ni kibaraka wa IKULU. Kama kweli kiongozi wa dini, basi tunatarajia majina yafuatayo yatajwe. Kadinali Pengo, Kilaini na Sheik Simba. Vinginevyo, hadaa tupu,.