MBEYA: Kanisa kutoa orodha ya wauza unga

MBEYA: Kanisa kutoa orodha ya wauza unga

Evangelical Pentecost Church ( TEC ) ??????????
Hiyo TEC hapo maana yake nini jamani? Ha ha haa! Kitendawiliiii......
 
Hawa nao msaada less, tangu mwaka 2006 wanahiyo list wamekaa nayo?
Watoto au wa Tanzania wangapi wameangamia tangu wawajue hao wauza unga?
Hawa pia wanatakiwa kuchukuliwa hatua kwa kuficha waharifu kwa muda wote huu 5 years.

NATA ..kama sijamwelewa vibaya Mwalulanga ni kwamba hiyo list amesema walimpatia Kikwete toka 2006, sasa unachowalalamikia wao ni kipi?
check na JK mkuu ndo amekalia hilo file la list...
 
Amesema walimpelekea orodha tangu 2006.
Msanii mwingine naye kaibuka huyu. Labda kama na yeye ni muuzaji aliyeokoka. Hata hivyo na wenzie tangu 2006 labda waliokoka na kuacha. Kwa nini hakutaja tangu 2006. Alitunza orodha hiyo ili ije iweje?
 
Huyu naye ametaka vyombo vya habari vitutangazie dhehebu lake tujue kwamba nalo lipo kati ya madhehebu yanayochukua kasi Tz.
Swali langu dogo kwake mheshimiwa huyo ni je kama aliwafahamu alikuwa wapi siku zote kutaja? au ana ushirika na JK kiasi kwamba walikubaliana kwamba nikichokoza mjadala wewe wataje? Haya bwana ngoja tusubiri tuone kama atatwambia ni wakina nani kama si story kama za rafikiye Kikwete!

Umesoma taarifa yake yote au? Umeielewa au kanjanja tu maana kasema walimpa rais orodha mwaka 2006 na hajaishuhulikia
 
All in all Kiongozi yeyote mkubwa anapaswa kuwa makini na kauli zake kila anapozitoa, aangalie audience yake inapokea blah...blah...., majungu au habari za kufikirika? Ni vema viongozi wa dini yeyote wasipuuzwe na kuwa undrerrated! Wengi ni wasomi wazuri na wanaelewa mambo. Wanataka kusikia kiongozi akiongea with confidence and eveidence na si upupu!
 
Haya mi namtaja mmoja...semeni su...SUUUU. Mamaaaa MAGOLD aka MABLING
 
Huyu si mchungaji. ni kibaraka wa IKULU. Kama kweli kiongozi wa dini, basi tunatarajia majina yafuatayo yatajwe. Kadinali Pengo, Kilaini na Sheik Simba. Vinginevyo, hadaa tupu,.
 
jamani huyo askofu alisha wataja au aliishia kuongea kwa simu na waandishi wa gazeti? mwenye update ya majina
 
Afwadhali mchungaji aseme kabisa kabisa, wachungaji, maaskofu, waumini, mashehe, watumishiwa usalama, wafanyibiashara. Taja wote, lakini angalia wasije wakakusukulize kama nanihii.:shut-mouth:

Kwa sababu na wenyewe ni sehemu ya jamii, wajibu wa kuyaumbua majahili ni sehemu ya kazi zao za kichungaji na wataisaida Serikali badala ya kulalamika tu na huku wahusika tunasuguana nao mabega.
 
Huyu si mchungaji. ni kibaraka wa IKULU. Kama kweli kiongozi wa dini, basi tunatarajia majina yafuatayo yatajwe. Kadinali Pengo, Kilaini na Sheik Simba. Vinginevyo, hadaa tupu,.

Bangi yako ni ya tarime au iringa?
 
Back
Top Bottom