Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Mbona akina Maarim hawakukamwatwa?
Betina huyo!!! ila yupo MUNGU !!! Burundi Nkurunzinza leo yupo wapi??Kule Mahenge tunasemaga MLUNGU CHIBIDU.....yaani Mungu ni PINDUA PINDUA....WAFANYE WATAKAYOYAFANYA...WAJUE ...MUNGU NDO ANAETUPA WATAWALA🗽LEO WALUTHERI ,WAKATOLIKI AWATOI TUNZO KWA RAIS....WANATOA ASSEMBLIS OF GOD🤣🤣🤣...NDUGU ZANGU WAISLAM NAO AWAELEWI TUNAPOENDA!!! YUPO MUNGU AMBAE NI PINDUA PINDUA....PANGA MIPANGO YAKO WEKEZA MAELA KWENYE MIPANGO YAKO ila yupo mgawa pumzi !! MLUNGU CHIBIDU!! MUNGU PINDUA PINDUA ALIE PINDUA PINDUA BURUNDI NDIE MUNGU ATAKAE PINDUA PINDUA TANZANIA SISI ATAPAMBANI PAMBANENI DHURUMU NA ATA WAUENI🙏🙏🙏.MUNGU ALIETUUMBA SOTE AWAPIGANIE lisu,sugu,mboe,membe,mahalimu,magufuli,tulia,na wote watakao kuwa watoa haki,hukumu 2021🙏🙏🙏
 
Mimi nikajua haend Rais wa mbea wananch wake wametulia Wana angalia move uku Wana kula popcorn
 
HAKUNA sheria iliyo juu ya Katiba, na Katiba inaruhusu maandamano
Huyo Kilatha anaamini kauli ya Magufuli ndiyo Katiba, anaamini kauli ya CCM ndio Katiba na anaamini kauli ya OCS ndiyo Katiba. Ukiishi kwenye ujinga ni vigumu sana kujua kuwa nchi inaendeshwa kwa kufuata Katiba na inaendeshwa kwa kuzingatia taratibu za kisheria. Kilatha hajui kwa nini tunaingia kwenye Uchaguzi, anadhani CCM ikitolewa huu utawala wa kiimla utaendelea kuwepo. Anadhani ikiingia serikali ya Mh. Tundu Lissu, polisi wahuni wataendelea kuwepo na wananchi watendelea kutawaliwa kidikteta.
 
Halafu kuna mtu anasema tuombe uchaguzi uwe wa amani tena akiwa kwenye nyumba za ibada kumbe ni kutuadaa huku yeye akifanya kinyume chake.
Huyu mtu tutampoteza kwa unafiki wake.Mungu ataichukua roho yake kuwanusuru wengi wanaoteseka na kunyanyaswa.
 
Mimi polisi hata awe ndugu yangu wa damu sitakaa
1.Nimchangie harusi
2.Sitakaa niende msiba wa polisi
3.Sitakaa nimzike
4.Sitakaa nimkope hata kama nahakika anakufa mama yake
5.Sitakaa nimpangishe
ANGALIZO: Sitakaa nivunje sheria kwenye kuwadeal ikiwemo kutowatukana ,kutowaua ,japo siwezi kuahidi sitowaombea mabaya
Daaah! Huku kwenye kutengana ndiko tunakoelekezwa sasa...
Mungu Ibariki Tanzania, Dumisha Uhuru na Umoja..
 
Hivi mngemuacha Sugu akachukua form yake kisha akarudi ofisini kwake hata kama ameambatana na watu elfu moja, ni kipi hasa kibaya kingefanyika? Kipi kingeharibika?
Kwanini mnailazimisha uvunjifu wa amani?

Kwanini mnataka kuiharibu amani ya nchi hii? Mmeenda CCP mkafundwa na kozi ziingine mkafundwa baadaye, kwanini mnafanya haya? Wanasiasa watawageukeni baadae hamjui tu.
 
Tanzania ni ngumu kujua nani mwenye haki ya kusikilizwa

Nani anapaswa amsikilize mwenzake
Msiwe mnajifanya hamjui na kumbenajua,hawa watu hufanya makusudi kuvunja sheria ili wakibanwa watengeneze story kwenye vyombo vya habari,mi nafikiri kushabikia upinzani huu tulionao ambao awali tuliuamini ni kujipotezea muda tu..kuweni na akili ya kupambanua mambo,hawa kina sugu,Lisu na washirika wao wote ni kundi la kihuni tu hili
 
Kilatha, sijui kwa nini unashinda humu ukitetea mambo ya kijinga. Tukishaingia kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu, kanuni reja reja zilizowekwa katika mazingira tofauti kuwekwa kando.

Nikisema kanuni rejareka ni zile sheria ndogo ndogo za kitaasisi ambazo au moja kwa moja zinapingana na Katiba ya nchi au hazizingatii wala kuheshimu matakwa ya sheria mama, Katiba.

Nakuapia kuwa mgombea wa CCM hawezi kufanyiwa uhuni kama huo aliofanyiwa Mh. Sugu. Wakati unafika wa hekima na busara kutumika ili angalau wagombea wote waonekana wamepewa fursa sawa.

Huyo OCS mhuni (ndio namwita mhuni kwani kaonesha kitendo cha kishenzi) kama mgombea angekuwa wa CCM si ajabu angeishia kupiga saluti. Huo ndio ukweli ambao nakupa uhuru wa kuupinga.
Kwanza sina tabia ya kutetea ujinga mara nyingi either napinga upotoshaji au nasimamia values za maisha ninazo amini mimi na si kila mtu anaweza ona ‘eye to eye’ yanapokuja mambo ya values (not necessarily because of political affiliation) kwa ivyo sishangai wewe kuona natetea ujinga.

Pili lazima tuelewa hizi kanuni zinazotungwa na taasisi (secondary legislations) zinatokana na mamlaka ya kisheria husika kufanya ivyo sio watu wanajiamulia tu.

From the same line of thinking NEC ina mamlaka ya kisheria kutunga kanuni za kusimamia uchaguzi kila muda unapowadia kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi. Katika kutekeleza majukumu hayo kila uchaguzi na wao wanajifunza changamoto zilizojitokeza kutokana na mapungufu ya kanuni na kurekebisha kanuni zao uchaguzi utakao fuata ili kuongeza ufanisi.

In other words secondary legislation in another name ni administration laws or policy approaches zenye lengo kutoa maelezo jinsi mambo yatakavyofanyika na sio kwa kujiamulia tu bali utakuta kuna strategic planning, nyuma yake.

Mfano uchaguzi unataka training ya wasimamizi, polisi kuagiza vifaa vya ziada, kutoa training kwa askari wao, kuelewesha jamii kuhusu taratibu za uchaguzi, kuwapa training mawakala wa uchaguzi namna ya kusimamia, kupanga muda wa wagombea kuchukua form, kutafuta wadhamini na kurudisha; etc.

Hayo mambo yote mbali mbali ili yaje kuwa coordinate na uchaguzi uende vizuri inahitaji planning. Kwa mfano unapoanza muda wa kuchukua na kurudisha form lazima wakurugenzi wawe wameshahitimu maswala ya kuweza kukaguwa form.

Na kabla campaign azijaanza polisi lazima wawe wameshamaliza mafunzo yao, wana idadi ya askari wa kutosha, wanavitendea kazi sahihi na wapo tayari kuakikisha usalama wa raia kwenye campaign yoyote wanayochagua kwenda. Kwa watu wanaofahamu maswala ya project management wanaita scheduling unakuta task B aiwezi anza bila ya task A kuisha, wakati task C inaweza anza bila A kuisha, etc.

Ndio maana wanaposema kila mtu apeleke ratiba yake ni kwa sababu polisi wajue wanajipanga vipi siku hizo kutokana na idadi ya mikutano, wanaposema campaign zitaanza siku gani ina maana by that time polisi watakuwa washamaliza maandalizi yao na wapo tayari, wakati zoezi la kuchapisha form linaweza kuanza kabla ya mafunzo etc.

Sasa CDM wao awataki kuelewa sababu za wenzao kila kitu wanajua wao tu. Kwa bahati vyama vingine vimekuwa wastaarabu haya ujaomba kibali what if wafuasi wa CDM na CCM wanakutana kwenye kuchukua form na polisi hakuna wa kulinda usalama wakipigana kama Hai leo nani wakulaumiwa.

Tujifunze kuheshimu taratibu za serikali sio watu wote wapuuzi, na mwenye akili ni Lissu peke yake.
 
Askari na mivyeo yake eti linasema "unaruhusu maandamano"! Wanataka Sugu afanye kazi ya kuzuia raia kuandamana kwani ye polisi? Bure kabisa!
 
Kwanza sina tabia ya kutetea ujinga mara nyingi either napinga upotoshaji au nasimamia values za maisha ninazo amini mimi na si kila mtu anaweza ona ‘eye to eye’ yanapokuja mambo ya values (not necessarily because of political affiliation) kwa ivyo sishangai wewe kuona natetea ujinga.

Pili lazima tuelewa hizi kanuni zinazotungwa na taasisi (secondary legislations) zinatokana na mamlaka ya kisheria husika kufanya ivyo sio watu wanajiamulia tu.

From the same line of thinking NEC ina mamlaka ya kisheria kutunga kanuni za kusimamia uchaguzi kila muda unapowadia kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi. Katika kutekeleza majukumu hayo kila uchaguzi na wao wanajifunza changamoto zilizojitokeza kutokana na mapungufu ya kanuni na kurekebisha kanuni zao uchaguzi utakao fuata ili kuongeza ufanisi.

In other words secondary legislation in another name ni administration laws or policy approaches zenye lengo kutoa maelezo jinsi mambo yatakavyofanyika na sio kwa kujiamulia tu bali utakuta kuna strategic planning, nyuma yake.

Mfano uchaguzi unataka training ya wasimamizi, polisi kuagiza vifaa vya ziada, kutoa training kwa askari wao, kuelewesha jamii kuhusu taratibu za uchaguzi, kuwapa training mawakala wa uchaguzi namna ya kusimamia, kupanga muda wa wagombea kuchukua form, kutafuta wadhamini na kurudisha; etc.

Hayo mambo yote mbali mbali ili yaje kuwa coordinate na uchaguzi uende vizuri inahitaji planning. Kwa mfano unapoanza muda wa kuchukua na kurudisha form lazima wakurugenzi wawe wameshahitimu maswala ya kuweza kukaguwa form.

Na kabla campaign azijaanza polisi lazima wawe wameshamaliza mafunzo yao, wana idadi ya askari wa kutosha, wanavitendea kazi sahihi na wapo tayari kuakikisha usalama wa raia kwenye campaign yoyote wanayochagua kwenda.

Ndio maana wanaposema kila mtu apeleke ratiba yake ni kwa sababu polisi wajue wanajipanga vipi siku hizo kutokana na idadi ya mikutano, wanaposema campaign zitaanza siku gani ina maana by that time polisi watakuwa washamaliza maandalizi yao na wapo tayari.

Sasa CDM wao awataki kuelewa sababu za wenzao kila kitu wanajua wao tu. Kwa bahati wengine wastaarabu haya ujaomba kibali what if wafuasi wa CDM na CCM wanakutana kwenye kuchukua form na polisi hakuna wa kulinda usalama wakipigana kama Hai leo nani wakulaumiwa.

Tujifunze kuheshimu taratibu za serikali sio watu wote wapuuzi, na mwenye akili ni Lissu peke yake.
Kilatha unajua na unafafanua sana, lakini Sisi hatuangalii huko kuruka ruka kwenye vifungu vya sheria na kanuni, tujikite kwenye kuzitekeleza hizo kanuni na sheria! Kwanini ziwabane wapinzani tu??!! Consistency, consistancy Kilatha!!
 
Kilatha unajua na unafafanua sana, lakini Sisi hatuangalii huko kuruka ruka kwenye vifungu vya sheria na kanuni, tujikite kwenye kuzitekeleza hizo kanuni na sheria! Kwanini ziwabane wapinzani tu??!! Consistency, consistancy Kilatha!!
Ina maana kwenye huu uchaguzi ACT wazalendo na NCCR mageuzi awana wagombea wa udiwani na ubunge; mbona awakumbani na polisi. CCM siku imeisha sidhani kama wagombea wao washajilikana.
 
Hivi mtu anashindwa kwenda kuchukua form zake taratibu aondoke mpaka akusanye watu kibao aende nao?
Kwani kuna ubaya gani? Mbona Simba walienda kupokelewa na watu kibao na maandamano juu walipotoka Sumbawanga?

Hizi double standards mnaziteteaje?
 
Back
Top Bottom