Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,288
- 30,169
- Thread starter
-
- #41
Wana Mbeya kama mpo humu hebu jibuni mapigo.Hamna cha Soweto Wala Nini nyama choma wako sifuri anakupotezea muda tu huyo.Kwenye nyama choma mbeya mjini Ni janga la kitaifa wako sifuri
Penye fursa ndipo kwenye kutengeneza hela, ukienda hapo na malaji yenye ladha utapata wateja wengi sana. Usimuamshe alo lala akiamka utaikosa bahati.Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.
Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.
Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.
Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.
Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Umeanza na lugha chafu halafu bado unataka tukusaidie !Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.
Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.
Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.
Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.
Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Hebu eleza lugha gani chafu imekukera.Umeanza na lugha chafu halafu bado unataka tukusaidie !
Vilainishi[emoji3]Hebu eleza lugha gani chafu imekukera.
Mkuu nyama choma inahitaji seasoning au marination, na inakuwa laini na hulika hata ukiwa na mapengo.Vilainishi[emoji3]
Mimi ni 6 yrs, sijui kama bado hii huduma inapatikana. Wale jamaa walikuwa vizuri sana kwa kitimoto.Katika sehemu ambazo nilikula kiti fire nzuri kuliko sehemu nyingine yoyote ni Mbeya
Nyuma ya Carnival hapo kuna hospital inaitwa K's karibu na hapo kuna pub moja inaitwa vamponji ni muda mrefu more than 8 yrs ila nakumbuka nilikula nyama moja matata sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo walikuchomea kuku wa kienyeji ndio maana ukaona nyama yake ngumu kama mnati, ungewakumbusha wakuchomee kuku wa kisasa mkuu
Nikirudi Mbeya nitapita sehemu hizo.Nenda nasoma pale mama John nyama choma ya ngombe na mbuzi safi. Nenda city pub nyuma choma ngombe mbuzi kuku safi labda kwa city pub ulishindwa bei ipo juu. Kitimoto nenda kwa Bashiri pale Soweto kitimoto loast safi taamu. Kitimoto ya kuchoma nenda pale mafiati karibu na SH amon kuna bar wanachoma vizuri kabwe hutojuta
Sawa mimi nipo mikoa ya Watu siinjoy nyama choma kama navyokula mbeyaNikirudi Mbeya nitapita sehemu hizo.
We mwenye mshamba tu.Kosa la hoteli moja au mbili unajumuisha mkoa mzima.Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.
Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.
Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.
Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.
Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Kagera gani hayo ambayo sio wafugaji.Fursa hiyo wachaga changamkieni.Mikoa ambayo watu SI wafugaji Kama mbeya nyama choma kweli hawajui.Hata ukienda kagera,Lindi,mtwara, ruvuma, nk Tatizo ni Hilo hilo
Kama umezoea misosi ya daslamu huwezi kuridhika na misos inayopikwa mikoa mingi ya Tz kama iringa mbeya, rukwa dodoma nk
Iringa ndo kabisa sili nyama choma yotote!Iringa mbona kuna bar wanachoma nyama vizuri sana? Mfano Miami. Mbeya bado kuna shida shida