Mbeya derby:Prison vs Mbeya City

Mbeya derby:Prison vs Mbeya City

hahaa...kweli Mbeya city inapendwa sana Mbeya na wanashangiliwa kwelikweli,nimeinjoi sana kuwepo ndani sokoine stadium kushuhudia mtanange huu
 
Mbeya city wanafanya mazoezi hapa baada ya mechi kuisha
 
Afu vp mapato yatakuwa poa eeh au ndio mambo ya tief f
 
jezi za mbeya city znatafutwa dar hazpatkan.kwanin hawataki kuleta jezi dar

jezi za mbeya city zinauzwa kwa watu maalumu,kwa hapa mbeya kuna watu kama wawili ndio wanhusika na uuzaji wake,Mastalana jamaa mwingine pamoja na halmashauri wenyewe.nafikiri bado wanaanda utaratibu utakatumika kuhakikisha jezi zinafika maeneo mbalimbali na nchi pasipokuchakachuliwa na kuiingizia klabu mapato.
 
baadhi ya picha za leo Photo0610.jpg
Photo0618.jpg
 
Photo0615.jpg Photo0623.jpg
hao waote ni mashabiki wa Mbeya city,mtanisamehe kama picha hazina ubora,pia sikuweza kupata picha nyingi pamoja na za mashabiki wa prison
 
Kweli ndugu wawili wakitwangana makonde...wengine tubebe majembe tukalime

Hahahahah.........ulivyoiombea njaa mbeya city leo,lazima utakua mwana jangwani. Hawa vijana wananipa raha baraa
 
kiingilio kilikuwa elfu 3 na watu walijaa sana uwanjani so nategemeaa mapato yatakuwa mazuri

Ubarikiwe sana Mkuu. Updates ulizotoa as if watu tulikuwepo sokoine. Mungu ibariki MCC, Mungu ubariki mkoa wa Mbeya.
 
Back
Top Bottom