Mbeya City's Photo Gallery

Mbeya City's Photo Gallery

fce3de68a0da6b7b5a9739b6a451476e.jpg
88e53b9764389d40fc333a5941ae722e.jpg


Stand ya Nanenane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
14c2a2997cd9574e0274632d49c7a4bc.jpg


Mnara wa Mashujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo njia ya kwenda Ghana syo....duh mm mbeya nmekaa chimala,jakaranda,blok t,napakumbuka Kwa mama john,alafu nlikuwa nakwendaga mlimani Kwa wasafwa kununa piches na kuleta dar wasafwa hata kiswahili walikuwa hawajui umenikumbusha maana mbaya nshapiga mishe sana mpaka tunduma na kyela to tukuyu

Ova
 
The real nyanda za zuu ni Mbeya. Kwahiyo upepo mkali ni lazima, hiyo shule mlisoma wapi? Sawa Mbeya hata hizo ghorofa zimejengwa kimakosa, sababu ya tetemeko la ardhi ndani ya bonde la ufa. Ndiyo maana hata hospitali ya rufaa haina ghorofa ndefu sababu ni hiyo tu. Karibuni Mbeya mji mzuri usiokuwa na umbea wala majungu. Ingekuwa nchi tungekuwa matajiri sana lkn tunalazimika kupokea shida za dodoma, shinyanga, tabora singida nk
 
Hakuna jiji bovu kama mbeya.... mnazidiwa hata na moshi kwa majengo mazuri....
 
Nipo mbeya likizo mbeya ni pazuri karibia kila kitu isipokuwa tu vumbi yaani kuna vumbi balaa
 
Mbeya bado ni upuuzi ni mji usio kuwa na hadhi ya jiji halafu watu wake wanaishi kienyeji sana
 
Mbeya, Morogoro, Iringa hii mikoa ninaipendea kitu kimoja tu, ukilala njaa umejitakia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom