Mbeya City's Photo Gallery

Mbeya City's Photo Gallery

Kijiji kikubwa cha Kusini mwa Tanzania.
 
Kwa mtazamo wangu at least Iringa ina majengo ya maana kuliko mbeya, mbeya imezungukwa na vijumba vya udongo
 
7b0b2d4f4a98780e5777f86351909bf4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ghorofa ndio lina lift ya kwendea Mwakaleli eeeh!
 
Nimependa Majibu yako Mkuu! Short and Clear. Kuna mijitu humu wanaiponda Mbeya utadhani kwao ni maghorofa na lami tu, kuumbe wengine wa Manzese, Charambe, Kwa Morombo, Ngokoro, Buzebazeba, Mafiga, Makole, Kishumundu, Mwembetogwa, n.k.
Tatizo lao wanalinganisha wakati thread hii haina lengo hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom