Sehemu kubwa ya wachezaji wa Mbeya city ni watoto wa hapa Mbeya mjini wasio na majina kabisa. Wanachama wa Mbeya city ni machinga, wafanyakazi, wafanya biashara kubwa na sisi wakulima. Tofauti na Dar au majiji mengine ambapo utaona sehemu kubwa ya watu wamevaa jezi man U (AON), hapa mbeya vazi letu la week end ni jezi za timu yetu Mbeya City. hata wakinamama wanaouza sokoni wameikubali timu yao na wamechangia kwa kununua jezi za timu yetu.
Aiseeeee!Hii timu imepanda Daraja msimu huu maskani yake yapo Mbeya Region na inawachezaji wazawa kibao hadi kocha mzawa yaani hii timu ni ya kikwetu kwetu zaidi.
Jezi: Dhambarau tisheti na kaptura nyeupe
kiwanja: Sokoine Stadium