Mbeya City Football Club - Special Thread!

ndetichia

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
27,772
6,557
Hii timu imepanda Daraja msimu huu maskani yake yapo Mbeya Region na inawachezaji wazawa kibao hadi kocha mzawa yaani hii timu ni ya kikwetu kwetu zaidi.

Jezi: Dhambarau tisheti na kaptura nyeupe
kiwanja: Sokoine Stadium
Mdhamini mkuu: Zuku TV
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOSAJILIWA MSIMU WA 2013/14
1. Alex Joseph Seth
2. Anthony Mayungu Matogolo
3. Deogratus Deo Mwashinga
4. Yohana Morris Ngonye
5. Hamad Hamza Kibopile
6. Richard Peter Ngalison
7. Richard Brown Mwakyoma
8. Mwagane Yeya Mwanazyembe
9. Yusuph Wilson Mbijima
10. John Daud Kabanda
11. Francis Casto Maganga
12. Geofrey Julius Mwalyego
13. Yusuph Abdallah Lulinda
14. Steven David Mazanda
15. Deus David Kaseke
16. Hassan Charles Mwasapili
17. Juma Ramadhan Abdi
18. Mussa Rajabu Lusewe
19. Baraka Felix Haule
20. Mohamed Said Kijuso
21. Jeremiah John Mangasin
22. Kenny Ally Mwambungu
23. Christian Sembuli Kimwaga
24. David Abdallah Burhan
25. Paul John Nyangwe
26. Paul Michael Nonga
27. Peter Pascal Mapunda
28. Azizi Issa Sibo



First Eleven of Mbeya city squard


Mbeya City Fans



KARIBUNI JAMANI .......nyumba yetu inazidi kubwa ......
www.instagram.com/officialmbeyacityfc
www.twitter.com/officialmccfc
www.youtube.com/Mbeyacityfc
http://www.mbeyacityfc.com/
 
mby city wanatakiwa wajishike wakumbuke orijolo last year walikuja kwa mbwembwe wazoefu wa lig wakawatuliza kama sio wao
 
Natamani niwaaambie shikamoo Mbeya city ila tatizo hawa ni watani wangu hawa
 
Sehemu kubwa ya wachezaji wa Mbeya city ni watoto wa hapa Mbeya mjini wasio na majina kabisa. Wanachama wa Mbeya city ni machinga, wafanyakazi, wafanya biashara kubwa na sisi wakulima. Tofauti na Dar au majiji mengine ambapo utaona sehemu kubwa ya watu wamevaa jezi man U (AON), hapa mbeya vazi letu la week end ni jezi za timu yetu Mbeya City. hata wakinamama wanaouza sokoni wameikubali timu yao na wamechangia kwa kununua jezi za timu yetu.
 

Kusema kweli kabisa , hakuna jezi inayouza kwa sasa kama ya hii timu , jamani tengenezeni na saizi ya watoto hii ni timu ya kwetu, mbeya city msituangushe tupo nyuma yenu.
 
Mbeya city itakuwa timu yangu ya pili kuipa ushirikiano baada ya YANGA hata kama yanga itashuka daraja.
NAIPENDA YANGA.
 
Mbwembwe tu hizo! Ngoja wachezaji washine then mcmu ujao tutawackia wote wapo Yanga au Simba.
 
Hii timu imepanda Daraja msimu huu maskani yake yapo Mbeya Region na inawachezaji wazawa kibao hadi kocha mzawa yaani hii timu ni ya kikwetu kwetu zaidi.

Jezi: Dhambarau tisheti na kaptura nyeupe
kiwanja: Sokoine Stadium
Aiseeeee!
Mkuu sasa unapotea.
Yani draw ya juzi ya Azam tayari leo umekimbilia Mbeya city duh?
Anyway wewe zunguka mpaka uzimaloze timu zote za ligi kuu kisha utajikuta umeangukia kwa 'KILUVYA UTD'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…