Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Ajali muda huu hiace imeshika moto barabara ya mbembela (Mbeya) ndani ya gari alikuepo dereva na kondakta wote wamesalimika.
Wakati huo ajali nyingine imetokea Kadege (Mbeya) usiku huu bajaji imegongwa na Land cruiser inasadikika watu watatu wamefariki dunia papo hapo.
Wakati huo ajali nyingine imetokea Kadege (Mbeya) usiku huu bajaji imegongwa na Land cruiser inasadikika watu watatu wamefariki dunia papo hapo.