Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
soko la tunduma linateketeya kwa moto chanzo bado haijajulikana
Aibu aibu zimamoto toka zambia ndoinaingia soko linateketeya
Aibu aibu zimamoto toka zambia ndoinaingia soko linateketeya
Ikigundulika ni njama nadhani uhuru wa Mbeya utaanzia hapo kuwa nchi.Ruge ndio kafanya mipango yote, ok poleni sana wanatunduma na mbunge. Wenu. Joseph silinde.
Maduka na vibanda vya wafanyabiashara mji mdogo wa tunduma mbeya yana/vinateketea kwa moto.
Baridi imezidi ndio maana watu wanaamua kuota moto wa masokoni
Baridi imezidi ndio maana watu wanaamua kuota moto wa masokoni
Ndugu zangu mlioko huko mtujuze kuhusu kuungua kwa soko la Tunduma
Mbeya ndio benghaziIkigundulika ni njama nadhani uhuru wa Mbeya utaanzia hapo kuwa nchi.