Mbegu za viazi lishe zinapatikana wapi?

Mbegu za viazi lishe zinapatikana wapi?

Thad

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
13,402
Reaction score
31,658
Wasalaam!

Wakuu, naomba kujuzwa sehemu ninayoweza kupata mbegu za viazi lishe kwa mikoa ya kanda ya mashariki (Dar es salaam, Pwani au Morogoro).

Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thad hivi, viazi lishe ndiyo wanapanda tambazi?
Nadhani mtu aliyepanda viazi unachuma mmea wake( zile kamba) unaenda kupanda!
 
Ni kweli Mwanyasi
Nashukuru Mungu nishaipata hiyo mbegu.
 
Back
Top Bottom