jashmoe32 JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 1,099 Reaction score 438 Aug 21, 2013 #1 Habari za siku wajumbe,samahan ila nlikua naulizia sehem wanapouza ile miti kama ya Christmas na gharama yake ni sh ngapi? Ntashukuru nikijulishwa
Habari za siku wajumbe,samahan ila nlikua naulizia sehem wanapouza ile miti kama ya Christmas na gharama yake ni sh ngapi? Ntashukuru nikijulishwa
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,314 Aug 21, 2013 #2 Nilipoona neno "mbegu" nilikuja kasi balaa. Anyway, nenda zile sehemu za vitalu vya miche ya miti utapata.
Nilipoona neno "mbegu" nilikuja kasi balaa. Anyway, nenda zile sehemu za vitalu vya miche ya miti utapata.
tete'a'tete JF-Expert Member Joined Feb 10, 2010 Posts 472 Reaction score 66 Aug 21, 2013 #3 KakaJambazi said: Nilipoona neno "mbegu" nilikuja kasi balaa. Anyway, nenda zile sehemu za vitalu vya miche ya miti utapata. Click to expand... Yaani tatizo lako unawaza kuleeeeeeeeeeee tuu...hebu punguza tuwe na akili za mambo mengine jamani...
KakaJambazi said: Nilipoona neno "mbegu" nilikuja kasi balaa. Anyway, nenda zile sehemu za vitalu vya miche ya miti utapata. Click to expand... Yaani tatizo lako unawaza kuleeeeeeeeeeee tuu...hebu punguza tuwe na akili za mambo mengine jamani...
jashmoe32 JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 1,099 Reaction score 438 Aug 22, 2013 Thread starter #4 Wajumbe ina maana hamna hata mtu anaejua wanapouza hizo mbegu za Alpine tree au Post yangu haina umuhimu?
Wajumbe ina maana hamna hata mtu anaejua wanapouza hizo mbegu za Alpine tree au Post yangu haina umuhimu?
M Mama Joe JF-Expert Member Joined Mar 30, 2009 Posts 1,504 Reaction score 851 Aug 22, 2013 #5 wewe uko wapi kama Dar nenda kwa wauza maua mie nilinunua miaka ya nyuma tena inaota vizuri ila bei kwa sasa sijui
wewe uko wapi kama Dar nenda kwa wauza maua mie nilinunua miaka ya nyuma tena inaota vizuri ila bei kwa sasa sijui