Mbegu kiasi gani inahitajika kwa beka moja ya vitunguu maji

Admin1988

JF-Expert Member
Mar 30, 2017
1,603
1,835
Wadau heshima KWENU,
Naomba mnifungue juu ya elimu ya vitunguu maji na hitaji kulima heka moja yenye ukubwa wa 70m@70m
Je! Niandae mbegu kiasi gani? Na elimu nyingine tafadhari nisaidieni.
Natanguliza shukurani zangu kwenu nyote!
ASANTE
 
Hekta 1 ni 100m & 100m(ha) sasa iyo cyo hekta.
Na acre n nn 50& 80m(acre) sasa iyo cjui niitaje mkuu
 
Idadi/wingi wa mbegu utatokana na aina ya mbegu utayochukua, zipo za aina nyingi mno, mfano mbegu za hybrid (Jamber F1, Neptune..) zinaota 85%+, hizi za kienyeji (Red mangola, ama ukiamua kuzalisha mwenyewe <70% ndio zitaota
 
Hekta 1 ni 100m & 100m(ha) sasa iyo cyo hekta.
Na acre n nn 50& 80m(acre) sasa iyo cjui niitaje mkuu
Mkuu acre ni 70x70 but sio mita ni yard, hiki ni kipimo cha waingereza.
Ambapo one yard=90cm
Kwa maana hiyo chukua 70x90cm =6300cm/100cm=63m
So acre moja ni sawa na 63mx63m
3f8abb66b7953006ef2e34729cdc9b3e.jpg
 
Wadau heshima KWENU,
Naomba mnifungue juu ya elimu ya vitunguu maji na hitaji kulima heka moja yenye ukubwa wa 70m@70m
Je! Niandae mbegu kiasi gani? Na elimu nyingine tafadhari nisaidieni.
Natanguliza shukurani zangu kwenu nyote!
ASANTE

Hapo jirani na shamba lako pana wakulima wenzako waulize wao, nakama hakuna tafuta pengine maana hapo hapafai kulima hilo zao.

Mnauliza ushauri na mtapata wa nazari baadae mnakuja kulia lia hapa nyie watu. Ole wako ulime matikiti.
 
Acre (ekari) = 4046 sqm = 63.6.. X 63.6..
Usichanganye watu mkuu. Vipimo ulivyotoa vinatumiwaga na maafisa ardhi kwenye upimaji kwamba kwenye sqm 4900 basi sqm854 itumike kwenye huduma za jamii na kinachobaki, sqm 4046 ndio upimiwe utakavyo. Hii haiondoi ukweli kwamba ekari moja ni sqm 4900
 
Usichanganye watu mkuu. Vipimo ulivyotoa vinatumiwaga na maafisa ardhi kwenye upimaji kwamba kwenye sqm 4900 basi sqm854 itumike kwenye huduma za jamii na kinachobaki, sqm 4046 ndio upimiwe utakavyo. Hii haiondoi ukweli kwamba ekari moja ni sqm 4900
Acre na hectare,ni vipimo standard duniani(vipimo vya ukubwa wa eneo), hivyo vya mwanarumango vinaonyesha hukupita kabisa sehemu shahiki ili kubisha haya, mambo yetu yalee BAM 0
Screenshot_2017-05-15-08-25-37-1.png
 
Kama mdau mmoja alivyosema, kiwango cha mbegu kinategemea aina ya mbegu. Kwa hybrid za level ya Jambar F1 na Neptune F1, 1.5 - 2 kg zinatosha sana kwa ekari (4900 sqm). Kwa mbegu kama Red Bombay and the likes, 4 -5 kgs will do. Kwa mbegu zinazozalishwa kienyeji kama Mang'ola, Lumuma etc, 10 litres zinatosha. Just be careful na uncertified seeds, nunua kwa trusted dealers tu, unaweza kuja juta
 
mnaulizwa mambo ya mbegu mnabishana hekta na ekari.

angakuwa mgonjwa mnampa masaada ngelishakufa.
Ekari na hekta ni vya muhimu ili kujua idadi ya mbegu mura, ukimjibu kwa kumaanisha ekari na yeye anamaanisha hekta na akilini akiwa na imani ni kitu kimoja ni kosa, hekta moja ni sawa na ekari 2.47,kama ekari ikila lita 2 za mbegu, hekta itakula 2 X 2.47 =4.94 ~ 5 ltrs, In short kufail kunaanziaga hapa
 
Back
Top Bottom