Mbege ni kinywaji cha taifa....

Mbege ni kinywaji cha taifa....

Hii kitu achana nayo Jumapili nacheki gemu ya Chelsea hapa Temboni katika baa fulani si nikakutana nayo... Nipo naiwazia tuu hapa weekend itakua ni lini tena
 
Tatizo la kunywa mbege kabla ya kupost JF
Yaani mbege acha tu mbe

Hii kitu ni

Kinywaji amaizing africa hakuna kama mbege

Kinywaji yenye virutubisho kama vyote

Kinywaji ukinywa lazima uwe na IQ nyingi

Hapa nimetoka moshi nimekuja na kitoto ndoo tele nimejaza kwenye fridge kitu cha baridii

Imefika wakati serikali na watanzania kuitambua mbege kama kinywaji rasmi cha taifa
 
Yaani mbege acha tu mbe

Hii kitu ni

Kinywaji amaizing africa hakuna kama mbege

Kinywaji yenye virutubisho kama vyote

Kinywaji ukinywa lazima uwe na IQ nyingi

Hapa nimetoka moshi nimekuja na kitoto ndoo tele nimejaza kwenye fridge kitu cha baridii

Imefika wakati serikali na watanzania kuitambua mbege kama kinywaji rasmi cha taifa
Taifa gani sie huku Kazulamimba hatuijui
 
Yaani mbege acha tu mbe

Hii kitu ni

Kinywaji amaizing africa hakuna kama mbege

Kinywaji yenye virutubisho kama vyote

Kinywaji ukinywa lazima uwe na IQ nyingi

Hapa nimetoka moshi nimekuja na kitoto ndoo tele nimejaza kwenye fridge kitu cha baridii

Imefika wakati serikali na watanzania kuitambua mbege kama kinywaji rasmi cha taifa
umesha lewa tayari mbege nishida
 
Back
Top Bottom