Gongo mbaya kiafya pili haina virutubishoSinywi pombe na kamwe sitainywa, ila kwa pombe za kienyeji, inayostahili kuitwa kinywaji cha tsifa basi ni Gongo, hii pombe kila mkoa ipo.
Ila mbege ukiipeleka maeneo mengine hawaijui, Gongo inafahamika hakuna kijij utaikosa hakuna mji utaikosa hiii Ndiyo gongo mflume wa Pombe za kienyeji.
Ila kunywa Gongo kupita kiasi, inaweza kudhoofisha Afya yako hata kukua. Kula kwanza Vizuri kabla hujanywa.
Ni kama wahaya tuWachaga Kwa kujisifu
Mbeke mangi wakwaMbege hiyoView attachment 1171957
YaahUmeni
Umenichekesha,iwe pombe ya taifa
Komoni ni pombe chafuMbege haiifikii Komoni mkuu
Zamani tulikuwa tunatumia vitambaa vya nyuzi za kataniZamani walikuwa wanatumia nini?
Kumbe!Zamani tulikuwa tunatumia vitambaa vya nyuzi za katani
Tunakunywa wanyongeKomoni ni pombe chafu
Marangu apo mzee babaWa sehem gn mekuu?
Hajaacha ase ...ni fundi seremala mzuri sanaaHajaacha vyombo
Pombe ya taifa la kaskazini View attachment 1171353