Mbatia na Magufuli nani ni bingwa wa kumbukumbu?

Ha ha haaa! Eti ubunifu! Sadam wa Kuwait upooo!
 
Ha ha haaa! Eti ubunifu! Sadam wa Kuwait upooo!

Naona Na Wewe Unatafuta UMAARUFU Kupitia GENTAMYCINE. Mwenzako Hapo Juu Kaja PUPA PUPA Nimemtuliza Sasa KANYWEA Mwenyewe Huku AKITAFAKARI, Naona Na Wewe UMEFUFUKA Sana Kutoka Pangoni. Utaniweza Lakini?
 
Hapa ni mahakamani? Wewe ndio ulete ushaidi Wa kupinga nilichoandika ili uniprove wrong, hivi wewe ni Wa wapi?
He who alleges must prove, wewe ndio umesema kua yeye ndio mpinzani wa kwanza duniani kutoa speech bila kusoma mahali popote, kwa maana kwamba unaushahidi wa hilo, tunauomba, tujiridhishe.
 
pole kwa kujitesa kuangaika kumuonea wivu Mbatia.
unajua maana ya neno 'Genius' ?
 

Mbatia wa kwanza, wapi?
 
Yani unavyosema uginius in which terms? sijakuelewa genius ni mtu anayetunza data akazisolve arafu akaziimpliment arafu akaangalia matokeo. sasa kama unafanya analyses ubase hapo. na data kama ni miaka basi kumbe na wanahistoria nao ni maginius basi.
 
Mkuu Matola hapo umetudanga eti mbatia kaanza ubunge kabla ya magufuli wakati wote wameingia bungeni kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 magufuli kafanya kazi ya ubunge kwa miaka 20 mfululizo
 
Mkuu Matola hapo umetudanga eti mbatia kaanza ubunge kabla ya magufuli wakati wote wameingia bungeni kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 magufuli kafanya kazi ya ubunge kwa miaka 20 mfululizo
 
hiv magu anajua kingereza hata kidogo ha ha ha ha nakumbuka ile im not a politicians columbia university ooooh i mean university of columbia aaaah colombia hahahahaha ngachoka mie
Hahahaaas kaka di unajya disi wasukuma matamdhi ni janga keetu
 
huyu mmoja taarifa za madaraja alikua ana hifadhi kichwani..
ila nimegundua ni kichwa cha kunguru..
leo atasema wananchi mkatae mabadiliko kesho anasema tunataka mabadilikooo...
leo aseme nitashuhulikia mgogoro wa zinj kesho aseme mimi sihusiki na huo mgogoro...
 
uwezi kumlinganisha jembe na viti maalumu.
Uwezi =huwezi, to correct you, mbatia si mbunge wa viti maalum wala wa kuteuliwa mburukenge ww! MBATIA NI MBUNGE WA KUCHAGULIWA NA WANANCHI JIMBO LA VUNJO-NCCR CHINI YA MWAMVULI WA UKAWA!
 
Hauwzi mfananisha mbatia na jpm ni mbingu na ardhi.mbatia ni namba nyingine kabisa huyo magu hamna kitu ni mnafiki tuu kama wewe
ooh my God! Mtu ambaye hajui kati ya Policy na Mtaala wa Elimu unatangulia upi?!?!? Mtu ambaye anajidai Tanzania haina Mitaala bila hata kujua jinsi mitaala inavyopatikana! To me no Mbatia hapana ni wale watu waliojaliwa kuwaeleza watu uongo fulani halafu wakaamini.
 
Mada nyingine hasa hovyo,yaani kama kuna watoto wa nursery school wanafungua humu,wanajua kweli kuna watu wakubwa lakini chenga nyingiii.
Asante kwa kutupunguzia uhai wa macho
 
Huyu pombe Ana uwezo wa kumuingi mbatia sema kapata zari tu
Ohh my God Unafananisha Mlima na Kichuguu. Kwa Upande wa UKAWA anayeweza angalau kujaribu kulinganishwa nae ni . Dr. Slaaa Baasi. Halafu nadhani hapa ndio itakuwa mwisho wa Thread. Nadhani wengi hawana uelewa huu. Seminary za RC huwa zinachukua CREAM ya Juu kabisa. Sasa hapo mnaobisha wote mtanielewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…