Lakini kumbuka kabila la kichagga na upande wa Ccm lipo. Punguza ukabila ndugu yangu, hao wachagga wanaweza kupiga kura za chuki kwa Mbatia na Ukawa nzima nyinyiemu mkabaki midomo wazi.
mbatia mzr wa kujipendekeza safu ya ukawa yote n ukanda na ukabila nd maana kajisahau kwmb yy n m/kt wa nccr baadalake anafanya kaz ya chadema kw kigezo tu mchaga na mkaskazin hovyo kwl
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa
Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa