sasa umeandika nini, mbona hueleweki, unapoandika jaribu kusoma hii ni aibu mkuu.
ule no muungano wa wenyeviti. je na hao wanao mfunga kitanzi ni wenyeviti?. mia
Sasa si siri tena kwamba Bwn.James Mbatia kisiasa maetengeneza kitanzi cha kujimaliza mwenyewe na wabaya wake ndani ya NCCR Mageuzi wametumia kamba hiyo kummaliza kabisa Mbatia. Hii inatokana na uamuzi wa Mbatia kukiingiza chama chake kwenye ndoa ya mkeka na CUF na Chadema. Inasemekana wabaya wake wameamua kuja juu wakiuliza ni kikao gani kilichokaa kupitisha uamuzi wa kuamua kuolewa na vyama hivyo vingine? Wabaya wake hao wameshapanga mashambulizi kupitia uchaguzi wa ndani ya chama hicho mwaka huu!
Sasa si siri tena kwamba Bwn.James Mbatia kisiasa maetengeneza kitanzi cha kujimaliza mwenyewe na wabaya wake ndani ya NCCR Mageuzi wametumia kamba hiyo kummaliza kabisa Mbatia. Hii inatokana na uamuzi wa Mbatia kukiingiza chama chake kwenye ndoa ya mkeka na CUF na Chadema. Inasemekana wabaya wake wameamua kuja juu wakiuliza ni kikao gani kilichokaa kupitisha uamuzi wa kuamua kuolewa na vyama hivyo vingine? Wabaya wake hao wameshapanga mashambulizi kupitia uchaguzi wa ndani ya chama hicho mwaka huu!
..mkuu msamehe huyo gamba yawezekana simbiuyetu imeachika na ile safari ya chembalachina kule kwa obama!!sasa umeandika nini, mbona hueleweki, unapoandika jaribu kusoma hii ni aibu mkuu.
..mkuu msamehe huyo gamba yawezekana simbiuyetu imeachika na ile safari ya chembalachina kule kwa obama!!
TUWE NA UELEWA MPANA KIDOGO HAPO HAKUNA MUUNGANIKO WA KIVYAMA KWAMBA VIMEUNGANA NEVER! NI UMOJA WA MUDA MFUPI WA KUUNGANISHA NGUVU KTK KUDAI KATIBA ITAKAYO TUFAA WATANZANIA WA SASA NA WAKESHO! <in my own view>