Sasa kafulila aliyemuona Mbatia hafai wakati ule mbona hajagombea? hawa watu wa Kigoma ni unafikina uharibifu tu, maana huu ndio ungekua wakati hasa wa Mh Kafulila kuonyesha kile alichokua anakitaka wakati ule chadema na baadae huko NCCR, sio kusubiri wakati mambo yanaenda shwari ndio kuleta hadithi za ajabu,