Mbatia kidedea NCCR

Hiyo ndiyo demokrasia, Chadema nao wamruhusu Jembe Zitto
 
bora Mbatia kasimama na mtu tunasema demokrasia imetekelezeka je dj zero anayeomba poo..!apishwe agombee na kivuli?huyo ndio mwehu halafu anahubiri demokrasia asiyoiweza itekeleza
 
Sawa umesikika kachukue posho ukalale siku tukianzaa fyekana huku tunaulizia dini,kabila, kanda ndo utajua faida ya us!!!!::ge wa vitu mnavopandikiza

kama mbatia mwenyewe amekili ktk hotuba yake wewe unaongelea huku pembeni kwa unapinga maneno ya mbatia?
 

Uko obsessed na watu wa Kigoma sana, badili mtazamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…