Mbatia hoi bin taabani Vunjo

Mbatia hoi bin taabani Vunjo

Mbatia yu radhi aue chama ilimradi tu apewe ubunge
 
Majasho

Nmeona
Yuko hoi kwel

Anatafuta kiki eti wanataka kumuua
Hahah
Nan akuue mbatia?

Safari hii harud bungen
Amezoea kuteuliwa
safari hii n hapa kazi tu
Hatutak wabunge mizigo
 
Last edited by a moderator:
Mi nadhani hakuna haja ya kumtupa Mrema. Wana vunjo wote bado wanamkubali sana na amejitahidi kutatua matatizo ya wananchi kwa asilimia 90. Sasa kwa nini wamtoe, ushabiki au. Nini hasa ambacho Mbatia safari hii ataweza kufanya. Hana lolote alishindwa kutimiza ahadi kipindi kile alichokuwa mbunge mpaka akakataliwa leo hii ana jipya gani tena.
Wana vunjo wala msidanganywe kabisa. Achaneni na huyo mchumia tumbo.
Chama chake nccr chenyewe kinamshinda na kinasambaratika leo ataweza ya Vunjo.
 
Mbunge wako ungeangaia itv leo sa mbili matukio ya wiki
 
Amshukuru Kikwete aliyemhuisha kwa kumteua kuwa mbunge wa viti maalum. Tungekuwa tumesha msahau na nadhani hata chama chake kingesha jifia kule. Hapa sana sana anamtegemea Kafulila tu. Na namshauri Kafulila ikiwezekana ahamie ACT au CHADEMA ASILIA. vinginevyo anapoteza muda kule na skill yake itapotea
 
Wabunge wake wote wa Kigoma wamemkimbia kabakia Kafulia naye harudi bungeni ACT-Wazalendo wamemkalia kooni.
 
Nmeona
Yuko hoi kwel

Anatafuta kiki eti wanataka kumuua
Hahah
Nan akuue mbatia?

Safari hii harud bungen
Amezoea kuteuliwa
safari hii n hapa kazi tu
Hatutak wabunge mizigo
Mbatia ameshikwa pabaya kila mahali. Ndani ya chama na viongozi wenzake na nje ya chama. Ananuka
 
Mi nadhani hakuna haja ya kumtupa Mrema. Wana vunjo wote bado wanamkubali sana na amejitahidi kutatua matatizo ya wananchi kwa asilimia 90. Sasa kwa nini wamtoe, ushabiki au. Nini hasa ambacho Mbatia safari hii ataweza kufanya. Hana lolote alishindwa kutimiza ahadi kipindi kile alichokuwa mbunge mpaka akakataliwa leo hii ana jipya gani tena.
Wana vunjo wala msidanganywe kabisa. Achaneni na huyo mchumia tumbo.
Chama chake nccr chenyewe kinamshinda na kinasambaratika leo ataweza ya Vunjo.
Kwa ujinga wako ww ndo mkatae lakini Mbatia moto mkali..ndo mbunge wangu mie mwanavunjo kutokea kijiji cha uparo.Kaa na ilo zee lako la kujipendekeza zaidi 25 /10nyaambaf zzako na liCCM lako
 
Mbona uchaguzi jimbo la vunjo ulishaisha cku nyingi kwani mbunge anemaliza muda wake mrema anajua kuwa Mbatia anachukuajimbo hilo kilaini mwaka huu ukwa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mbatia hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
hapo ni ubunge tu ukawa mnatoana roho je tukiwapa urais itakuwaje ? Jipangane kwanza. Hapa kazi tu
 
Aisee ungekuwa binti ungeshatundikwa mimba 5 kwa umbea. Hata kama hayo unayosema ni ya kweli ww yamekuuma nn? Shame on you hebu nadi hizo pombe zakp ya ukawa tuachie wenyewe

Wewe kenge umezalishwa watoto wa ngapi kwa umbea?

kama umeumia sana tulia ndio siasa hizo.
 
Mi nadhani hakuna haja ya kumtupa Mrema. Wana vunjo wote bado wanamkubali sana na amejitahidi kutatua matatizo ya wananchi kwa asilimia 90. Sasa kwa nini wamtoe, ushabiki au. Nini hasa ambacho Mbatia safari hii ataweza kufanya. Hana lolote alishindwa kutimiza ahadi kipindi kile alichokuwa mbunge mpaka akakataliwa leo hii ana jipya gani tena.
Wana vunjo wala msidanganywe kabisa. Achaneni na huyo mchumia tumbo.
Chama chake nccr chenyewe kinamshinda na kinasambaratika leo ataweza ya Vunjo.

mrema hana lake hapa vunjo aixee zaidi ya kulia kua mbatia anamchezea rafu ...MBatia ndio mbunge we2 hapa kwa mara ya pili
 
Wewe mtoto Mbatia atachaguliwa kwa mara ya pili kuwa mbunge wa Vunjo. Na kama kwa sababu ya utoto wako hujui ni kwamba hii siyo mara ya kwanza,alishakuwa mbunge wa Vunjo!

aisee wengi sujui mmezoea kutukanwa daaa hivi unapajua moshi au wao sio WA kukurupuka kwa maneno mengi yasiyo na tija, mwaka huu kikwete hayupo so bunge ataliona kwenye tv tu
 
Back
Top Bottom