Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia amepinga vikali utafiti uliofanywa na Synovate na kuonyesha vyama vya upinzani vikiongozwa na Chadena wanaungwa mkono zaidi dhidi ya CCM.
Ifuatayo ni sehemu ya mazungumzo yake kama alivyonukuliwa na mwandishi wa gazeti la mwananchi
''Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, alisema kuwa kuchukua watu 1,994 ili kuwakilisha Watanzania wenye uwezo wa kupiga kura ambao ni zaidi ya milioni 20, ni makosa.
Watu 1,994 hawawezi kuwasilisha Watanzania milioni 20 ambao wana sifa za kupiga kura, lakini pia kwa wakati tulionao labda wangekuja na utafiti unaoleta ufumbuzi wa hali ngumu ya maisha tungewaelewa, alisema Mbatia.
Ifuatayo ni sehemu ya mazungumzo yake kama alivyonukuliwa na mwandishi wa gazeti la mwananchi
''Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, alisema kuwa kuchukua watu 1,994 ili kuwakilisha Watanzania wenye uwezo wa kupiga kura ambao ni zaidi ya milioni 20, ni makosa.
Watu 1,994 hawawezi kuwasilisha Watanzania milioni 20 ambao wana sifa za kupiga kura, lakini pia kwa wakati tulionao labda wangekuja na utafiti unaoleta ufumbuzi wa hali ngumu ya maisha tungewaelewa, alisema Mbatia.