Sasa unalalmika nini?
Inasikitisha kweli kulikuwa na ushindi wa wazi kwa nafasi zote mbili iwapo vyama hivi viwili vya upinzani vingeafikiana, hali ndo hiyo na najua mwisho wa siku na hiyo nafasi ya mwenyekiti itaenda ccm
Ni kweli inavyoonekana NCCR wataunga mkono CCM kwenye nafasi ya Mkiti pia.
kwani hawa CHADEMA si ndo walikataa kuungana na vyama vingine vya upinzani kuunda kambi ya upinzani? Leo hii wanataka ndoa na NCCR MAGEUZI kwa ajili ya Meya wa Uvinza! wakumbuke kuwa ukiwa mchoyo basi ujifunze na kutoomba