Mbatia aibua madudu mitihani darasa la 7!

Mbatia aibua madudu mitihani darasa la 7!

[mufindi hakuna mbao???
kwanini msijitengenezee madawati hadi msubiri serikali?
Nendeni kilimanjaro shule zina madawati ya akiba yako stoo
hizi ni juhudi za walimu wazazi na viongozi wa kata na wilaya
alichosema Mbatia ni sahihi kabisa hajitafutii umaarufu



QUOTE=Ntuzu;7026966]Mbatia na yeye asitafute umaarufu au asipige kelele ktk swala la vitabu tu au mitihani tu. Aende Mufindi huko akaone shule haina madawati wamebumba udongo ndo madawati wanakalia wanafunzi na kuandikia. We unadhani hapo itapatikana elimu kweli?

Alafu Hawa viongozi wa chama cha madawa wanajisifu eti miaka 50 ya uhuru eti wamefanya makubwa. Makubwa wapi au makubwa katik swala la ufisadi na kushindwa kisimamia serikali na mashirika yote vzr ndo maana twaona tumekua lango la madawa na tumekua lango la bidhaa feki yani tumekua hivyo hivyo.[/QUOTE]
 
Kweli hii ndo Tanzania zaidi ya huijuavyo halafu mnalaumu mwanafunzi kumaliza darasa la 7 bila kujua kusoma na kuandika
 
Hivi huyo Mbatia na hao Maprofesa walioufanya huo mtihani walijiandaa kwa huo mtihani au walifikiri wao ni vipanga sana?
Hiki ni kipimo dhaifu sana. Kwanza hawakujiandaa kwa ajili ya huo mtihani. Pili, waliufanya wakiwa tayari wapo biased. Walitaka kuonyesha madhaifu
Nakubaliana na jambo lao moja tu: Maswali kukosa majibu.
 
Kukosea jina la wizara?????????? Huu ndio uzembe mkuu kuliko mwingine wwt nliopata kuona, na bila aibu msemaji anakiri alafu anarudi ofisini!!!! Hivi bado hawajajiuzulu??

Akizungumza na gazeti hili, Msemaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bunyanzu Ntambi alikiri kuwa jinala wizara limekosewa katika mitihani hiyo.
 
huku swali moja likiwashinda maprofesa waliofanya mtihani huo.

Alisema katika swali moja, namba 33 ni swali la mwanafunzi anayechukua fani ya uhandisi katika vyuo vya elimu ya juu.
:embarrassed1:
Nimeipenda hii.
Hii ni hatari kwa maendeleo ya taifa na watoto wetu kwani tunawahukumu kwa makosa ya wengine.
binafsi nampongeza Mh. Mbatia kwa hili alilolifanya na iwe fundisho kwa wengine kwamba kama tuna mapenzi na nchi yetu tunaweza kuamua kufuatilia jambo/sector moja na kufanya uchunguzi wa kutosha katika eneo hilo ili kuujuza uma ni nini hasa kinaendelea hapa nchini. tupate wengine katika kilimo, madini, afya,kodi, na ikiwezekana kila wizara.
 
mbatia hatafuti sifa bali ndiye mpinzani pekee w serikali aliyesoma vzr Tanzania anajua elimu n nn n wp kwny makosa ,,,
hao wngn wny secondary za kilatino za hk Italy hawajui shida za mtoto w kitanzania wao n kelele n maandamano

sawa, ameamua kula sahani moja na elimu, hasa ya msingi, sasa asisahau kutoa njia, kama una uwezo wa kugundua matatizo ni vyema kabisa, but we need also way forward. tena bila shaka atasikilizwa akitoa ushauri kwa kuwa yeye ni best wa rais
 
Hii sana ni bora elimu na si elimu bora.Walau uozo umeonekana wenye mamlaka wanatakiwa kuwajibika sasa.
 
sasa iyo apo ni kwa shule ya msingi
Pia kuna mtihani ulitungwa na wizara kwa kidato cha nne,kuna madudu sana,hata majibu waliyoletwa ili walimu watumie kusahihisha yamekosewa sana
HII NDIO BIG RESULT NOW
 
Linapokuja suala la elimu, huwa nafurahishwa sana na jitihada za Mbatia. Wengi tunaweza kumbeza kwa kuwa ni Mbatia na ni mbunge wa shikamoo mzee. Lakini penye ukweli shurti tuseme ukweli jamaa anajitahidi sana kuipigania elimu ya nchi yetu.
 
Hii ndiyo Tanganyika uijuayo na usiyoijua! Mkiambiwa watu hawana uwezo wa kuongoza wizara, MNABISHA! Bado mnabisha?
 
Linapokuja suala la elimu, huwa nafurahishwa sana na jitihada za Mbatia. Wengi tunaweza kumbeza kwa kuwa ni Mbatia na ni mbunge wa shikamoo mzee. Lakini penye ukweli shurti tuseme ukweli jamaa anajitahidi sana kuipigania elimu ya nchi yetu.

Wangemkabidhi hii wizara kwa mwaka mmoja tu, wafanye "kumwazima", madudu yote yataondoka! Dhahiri kabisa!
 
Tell your head of the Nation that ''BIG RESULT NOW without BIG SALARIES NOW is a BIG PROBLEM NOW''.

I think I like this. So what should be done? Nashauri ile wizara ipewe watu ambao kwanza wana interest na elimu achilia mambo habari za uwezo. Seemingly the current guys do not know how to handle education issues leave alone administrative issues. The Ministry of Education needs major changes. Those with the same level of thinking should be allowed to have a rest and enjoy it. Enough is enough.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
mbatia hatafuti sifa bali ndiye mpinzani pekee w serikali aliyesoma vzr Tanzania anajua elimu n nn n wp kwny makosa ,,,
hao wngn wny secondary za kilatino za hk Italy hawajui shida za mtoto w kitanzania wao n kelele n maandamano
huu ndio uandishi gani, unatofauti gani na anaechora katuni kwenye mtihani.?
 
Kukosea jina la wizara?????????? Huu ndio uzembe mkuu kuliko mwingine wwt nliopata kuona, na bila aibu msemaji anakiri alafu anarudi ofisini!!!! Hivi bado hawajajiuzulu??

This is unacceptable? Kwa nini jina la Wizara likosewe? Ina maana hiyo kazi ni one-man-show kwamba hapakuwa na proof reading? Once upon a time there was one PS who was so keen kwenye kubakikisha hakuna errors za kijinga jinga. This was Prof. Hamis Omary Dihenga. Kile kilikuwa kichwa haswa. Very inteligent indeed.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mbatia na yeye asitafute umaarufu au asipige kelele ktk swala la vitabu tu au mitihani tu. Aende Mufindi huko akaone shule haina madawati wamebumba udongo ndo madawati wanakalia wanafunzi na kuandikia. We unadhani hapo itapatikana elimu kweli?

Hili la Mbatia kutafuta umaarufu linatoka wapi? Mbatia kaonyesha mapungufu katika mfumo wa elimu nchini. Ukosefu wa madawati na madarasa ni baadhi tu ya upungufu huo.
 
Mh. Mbatia! Katika elimu yetu ya tanzania ni sawa na la kuvunda ambalo halina ubani abadani.
 
Back
Top Bottom