warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,383
Siku kadhaa baada y aliyekua mume wa florah Mbasha , Emmanuel Mbasha kumlipua nabii shilah kuhusu scandal yake ya utapeli kupitia neno la Mungu na kuahidi kufichua uovu wake wote pamoja na ushahidi na watu aliowatapeli mamillion ya pesa kwa kupitia mwanvuli wa dini.
Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli
Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu
Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew
Hata hvyo Nabii shillah baada ya kuona ngoma nzito akaamua kumfuata mbasha pembeni na kumuomba hayo mambo yaishe na maisha yaendelee, Coz Mbasha aliahid leo kufikisha madai yote mahakaman pamoja na watu aliowatapeli
Cha kushangaza baada ya kusuhulisha ugomvi shillah karudi tena Instagram na kujifanya mwamba ambapo mbasha kamuonya mara moja afute post yake kabla hajachafua hali ya hewa, hata hivyo shillah alifuta post kuhusu mbasha kwa kuogopa kuvuliwa nguo na mtumishi huyo aliyejipatia maarufu baada ya kupigwa mtama na mtangazi wa clouds Adam mchomvu
Ila wanazengo na nyie, mtu kama shillah kweli na nyie mnakaa kabisa kanisan kwake mnaamin ni mtumshi wa Mungu , jitu tapeli la wazi wazi , mzinzi makanisa yake ya uchochoron yote yamefungwa. Mtu anajiitta Billionare halafu anakukopa million na wewe unatoa, nyie mbwa nani aliyewaroga, hizo hela si bora mkapeleke kwa waganga mkarogee kuliko kuzitupa kwa huyo mbwa mwizi, mxieew