Mbasha, Gwajima kimenuka upya

Mbasha, Gwajima kimenuka upya

Na we naye unajiita GT kweli wewe! kila post unaweka haka ka utumbo kako ka Sijui Roma. Huwezi kuwa na utashi wako kama mtu hadi ushikiwe akili!!

Halafu ukimuuliza mtu kuhusu yaha mabadiliko ya kimfumo hawezi kukueleza;
Mfano:
  1. Hivi mfumo tuliopo ukoje?
  2. Ni vitu gani viondolewe, au viongezwe, au virekebishwe na virekebishweje katika mfumo huu?
Uihoji haya mambo utajidhihirisha ni jinsi gani watu wengi walivyo wavivu kufikiri......!
Napata shaka kuwa huenda Watanzania tunarudia tena ushabiki wa mwaka 2005...!
 
Gazeti la udaku yan wew unaletaa tujadili upuuz wa gazeti la kada
 
Hivi Mbasha ni mwanamme pekee kuchukuliwa na mke? Kuna wimbo uansema: Kuchapiwa ni siri ya ndani. Mbasha ni mwanamme dhaifu anayetafuta huruma ya umma. Mbona Mbasha anajivua nguo? poor man!
 
GWAJIMA NI MTUMISHI WA MUNGU, IMEKUWAJE LEO ANAPORA WAKE ZA WATU!! AU NI WALE M/MWITU WALIOJIFUNIKA NGOZI YA KONDOO. TUMWOMBEE😛ray2:
 
Back
Top Bottom