Mbasha, Gwajima kimenuka upya

Mbasha, Gwajima kimenuka upya

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC00236.jpg
 
upuuzi huu peleka huko ukawa..hapa tunadeal na core issues..
 
Mwaka huu na majira na msimu huu itabid tuseme msemo mmoja wa marekani.

Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesh a Ulimwengu Kuwa Marekani ni ya Kila Mtu.

Na sisi watanzania Kwa Umoja wet bila kujali tofauti zetu ndogo nyakati hizi ni nizakusema haijalishi kama Lowassa ataleta Maendeleo au la! ni wakati wa kumchagua LOWASSA wa CHADEMA/ UKAWA ili pia pamoja na ILANI elimu bure, katiba mpya, kufungua mawasiliano hasa reli ya kati pia uuonyesha na kuudhihirishia Ulimwengu kuwa Tanzania Siyo ya cicimu pekee.

Tuma ujumbe huu kwa Watanzania wasiopungua 1000 ili kuamsha na kuchochea mabadiliko ya kweli. Fursa hii ya Mabadiliko tukiipoteza itatuchukua miaka 30 tukikumbuka Mwaka 2015 tulijinyima mabadiliko ya katiba, mfumo, maendeleo.

Lowasa Mabadiliko
Mabadiliko Lowassa.

Samahani pia kama utakwazika imebidi kuonyesha Uzalendo kwa Taifa letu lenye miaka 54 ya Uhuru.

Maajabu likipitwa na hata jirani zetu Kenya aliyepata Uhuru kwa kuchelewa miaka 3 sasa ametupita kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, kiuchumi, Katiba Mpya,nk.

Na hata Rwanda iliyotoka vitani miaka ya 90 inatupita ingawa sisi ndio tuliowahi pata Uhuru, kujaliwa Rasilimali hata zisizo duniani mpaka zikaitwa majina yetu kama Tanzanite, mito, maziwa, Bahari-Bandari, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba rasilimali adimu duniani ili tuanze kukimbia badala ya kutambaa kimaendeleo.

Na we naye unajiita GT kweli wewe! kila post unaweka haka ka utumbo kako ka Sijui Roma. Huwezi kuwa na utashi wako kama mtu hadi ushikiwe akili!!
 

[h=2]Mbasha, Gwajima kimenuka upya![/h]
Featured Stories, Risasi
September 12th, 2015
0 Comments

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Brighton Masalu
NI kweli kimenuka! Siku chache baada ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kujibu mapigo ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, sasa kimenuka upya, Risasi Jumamosi linakupa zaidi!
Kimenuka kwa nani? Ni kwa Emmanuel Mbasha ambaye ni mume aliyetengana na mkewe, Flora Mbasha huku mwanaume huyo akisimamia madai yake kwamba, Gwajima alisimamia mchakato mzima wa yeye na mkewe kutengana.
Emmanuel Mbasha.
AIBUKA UPYA
Akizungumza na Risasi Jumamosi katika mahojiano ya takribani dakika thelathini juzi jijini Dar, Mbasha alisema alimshuhudia Gwajima, Jumanne wiki hii akitupa shutuma kwa Dk. Slaa tena kwa kuyaanika mambo yake ya ndoa, yeye akashangaa sana.
"Na mimi leo nataka kumjibu Gwajima kama yeye naye alivyojitokeza kumjibu Dk. Slaa. Gwajima niliwahi kumshutumu kwa kuhusika na kuvunjika kwa ndoa yangu. Leo hii anasimama kwa kujigamba akisema Slaa si msafi, yeye ana usafi gani?.
AFICHUA SIRI MPYA
"Lakini kiko wapi sasa! Hata huyo Flora mwenyewe ameshamkimbia, yuko kwingine. Kwa hiyo kama ishu ni uchafu, Gwajima pia si msafi. Ana mambo anajua alikuwa akiyafanya kwa mke wangu, mimi nayajua na nina ushahidi."
Hata hivyo, Mbasha hakufafanua, Flora amemkimbia Gwajima kivipi? Na huko kwingine alikokwenda ni kwa nani na kwa sababu gani!
ANA MAZITO YA GWAJIMA
Lakini alikwenda mbele zaidi kwa kusema: "Naomba leo niseme kwamba nina mambo mazito sana ya Gwajima
ambayo siku ikifika nikienda kuyasema kanisani kwake waumini wake watashangaa wote. Muda bado haujafika lakini ukifika nitamlipua."
Risasi Jumamosi: "Je, kuibuka kwako upya tukisema umetumwa na chama kimoja cha siasa umchafue Gwajima, utasemaje?"
Mbasha: "Kwani ye' alitumwa na nani? Mimi nimeibuka kwa sababu hata yeye ameibuka. Kama angesimama pale (Ukumbi wa Hoteli ya Landmark) akasema mambo yake bila kukosoa ndoa ya Dk. Slaa hata mimi nisingepanua kinywa kusema. Hawezi kusema siri za mwenzake kama mtumishi. Tena anasema mpaka ishu ya Dk. Slaa kulala ndani ya gari."
"Nimeamua kusema kwa sababu yeye amemwona mwenzake si msafi. Yeye usafi wake ni upi? Niliachana na Flora, akaenda kwake, yeye akampokea. Angekuwa msafi angemshauri Flora kwamba alichofanya si kizuri. Hapo ningesema ni msafi."
AMKUMBUSHA GWAJIMA KUHUSU MOROGORO
"Gwajima akumbuke kabla ya ukaribu wetu haujafa, mimi, Flora na yeye tulikwenda Morogoro kwa ajili ya huduma ya Mungu. Nini kilitokea? Lakini sijasema. Ajitokeze anijibu na mimi halafu nitasema nini kilitokea. Kwa sasa sitoi risasi zote, nasubiri ajibu."
NDANI YA MITANDAO
Ndani ya mitandao mbalimbali ya kijamii, majibu ya Gwajima kwa Dk. Slaa yamekuwa gumzo. Timu ya Mbasha imemtupia shutuma kali Gwajima ikikumbushia mgogoro wa Flora na mumewe huku kundi jingine la Gwajima likitetea kuwa, hakuna uhusiano wowote wa mgogoro wa Mbasha na mkewe na majibu ya Gwajima kwa Dk. Slaa.
GWAJIMA SASA
Juzi, gazeti hili lilimsaka kwa njia ya simu Mchungaji Gwajima ili aweze kujibu shutuma za Mbasha ambazo ni kama ameziibua upya lakini simu yake haikuwa hewani.
Hata hivyo, katika mkutano wake na wanahabari Jumanne, Gwajima alisema: "…kwa hiyo Dk. Slaa si msafi. Dk. Slaa huyu wa leo si yule wa mwaka mmoja uliopita! Lakini ukiangalia kwa makini sana, si yeye, matatizo yapo kwa yule mke wake, amemkamata."
Pia, Gwajima alianika siri akidai kuwa, Dk. Slaa aliwahi kutupiwa virago nje akalala kwenye gari baada ya kubaini kuwa, ameridhia, Chadema kumpokea waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kugombea urais.
FLORA NAYE ANA MAMBO MENGI
Wakati Mbasha akirusha madai hayo huku akisema mkewe amemkimbia Gwajima na yuko kwingine, kwa upande wake, Flora aliwahi kusema: "Nina mambo kibao ya Mbasha, nikiyasema watu
watashangaa! Lakini siku zote mimi namwachia Mungu tu. Yeye ndiye muweza wa yote."
MKE WA DOKTA SLAA
Kuhusu madai ya kumfukuza mumewe nje na kulala kwenye gari, mke wa Dk. Slaa, Josephine Mushumbuzi aliwahi kusema: "Najiuliza nini
kinaendelea, kuna mambo mwanamke huwezi kumfanyia mwanaume. Mume atabaki kuwa mume tu siku zote."
SLAA AHOFIA
Kuhusu madai ya kukatiliwa kuingia ndani ya nyumba na mkewe na kulala ndani ya gari, Dk. Slaa alipoulizwa kihabari, alisema: "Mambo hayo ni ya kifamilia sana. Sitaki tu kuzungumzia mambo ya familia za watu nikiyasema utatokea mpasuko! Tuache tu."
 
Kweli mwanaume kuachwa inauma kinoma. Ni Mbasha anayasema haya au ni Shigongo at work?? watakuwa wamempa sh ngapi Mbasha mpaka akajidhalilishe kiasi hicho?? Hivi hana njia nyingine ya kupata faraja mpaka alie hivyo waz waz kuwa alichapiwa mpaka utam kolea ukamkimbiza mkewe??
Sijui, ila ka ni miye, ningejisafisha moyo kwa kale kashem kaliko lianzisha hili soo. Wanawake ni wengi, jifariji kuwa hata ka Gwaj alimchukua ila weye ndo ulimfaidi zaidi Flora. Sema; Ganda la muwa la jana....waache walambe makombo we hata kumtotoa usha mtotoa
 
[h=2]Mbasha, Gwajima kimenuka upya![/h]
Featured Stories, Risasi
September 12th, 2015
0 Comments

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima.
Brighton Masalu
NI kweli kimenuka! Siku chache baada ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kujibu mapigo ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, sasa kimenuka upya, Risasi Jumamosi linakupa zaidi!
Kimenuka kwa nani? Ni kwa Emmanuel Mbasha ambaye ni mume aliyetengana na mkewe, Flora Mbasha huku mwanaume huyo akisimamia madai yake kwamba, Gwajima alisimamia mchakato mzima wa yeye na mkewe kutengana.
Emmanuel Mbasha.
AIBUKA UPYA
Akizungumza na Risasi Jumamosi katika mahojiano ya takribani dakika thelathini juzi jijini Dar, Mbasha alisema alimshuhudia Gwajima, Jumanne wiki hii akitupa shutuma kwa Dk. Slaa tena kwa kuyaanika mambo yake ya ndoa, yeye akashangaa sana.
“Na mimi leo nataka kumjibu Gwajima kama yeye naye alivyojitokeza kumjibu Dk. Slaa. Gwajima niliwahi kumshutumu kwa kuhusika na kuvunjika kwa ndoa yangu. Leo hii anasimama kwa kujigamba akisema Slaa si msafi, yeye ana usafi gani?.
AFICHUA SIRI MPYA
“Lakini kiko wapi sasa! Hata huyo Flora mwenyewe ameshamkimbia, yuko kwingine. Kwa hiyo kama ishu ni uchafu, Gwajima pia si msafi. Ana mambo anajua alikuwa akiyafanya kwa mke wangu, mimi nayajua na nina ushahidi.”
Hata hivyo, Mbasha hakufafanua, Flora amemkimbia Gwajima kivipi? Na huko kwingine alikokwenda ni kwa nani na kwa sababu gani!
ANA MAZITO YA GWAJIMA
Lakini alikwenda mbele zaidi kwa kusema: “Naomba leo niseme kwamba nina mambo mazito sana ya Gwajima
ambayo siku ikifika nikienda kuyasema kanisani kwake waumini wake watashangaa wote. Muda bado haujafika lakini ukifika nitamlipua.”
Risasi Jumamosi: “Je, kuibuka kwako upya tukisema umetumwa na chama kimoja cha siasa umchafue Gwajima, utasemaje?”
Mbasha: “Kwani ye’ alitumwa na nani? Mimi nimeibuka kwa sababu hata yeye ameibuka. Kama angesimama pale (Ukumbi wa Hoteli ya Landmark) akasema mambo yake bila kukosoa ndoa ya Dk. Slaa hata mimi nisingepanua kinywa kusema. Hawezi kusema siri za mwenzake kama mtumishi. Tena anasema mpaka ishu ya Dk. Slaa kulala ndani ya gari.”
“Nimeamua kusema kwa sababu yeye amemwona mwenzake si msafi. Yeye usafi wake ni upi? Niliachana na Flora, akaenda kwake, yeye akampokea. Angekuwa msafi angemshauri Flora kwamba alichofanya si kizuri. Hapo ningesema ni msafi.”
AMKUMBUSHA GWAJIMA KUHUSU MOROGORO
“Gwajima akumbuke kabla ya ukaribu wetu haujafa, mimi, Flora na yeye tulikwenda Morogoro kwa ajili ya huduma ya Mungu. Nini kilitokea? Lakini sijasema. Ajitokeze anijibu na mimi halafu nitasema nini kilitokea. Kwa sasa sitoi risasi zote, nasubiri ajibu.”
NDANI YA MITANDAO
Ndani ya mitandao mbalimbali ya kijamii, majibu ya Gwajima kwa Dk. Slaa yamekuwa gumzo. Timu ya Mbasha imemtupia shutuma kali Gwajima ikikumbushia mgogoro wa Flora na mumewe huku kundi jingine la Gwajima likitetea kuwa, hakuna uhusiano wowote wa mgogoro wa Mbasha na mkewe na majibu ya Gwajima kwa Dk. Slaa.
GWAJIMA SASA
Juzi, gazeti hili lilimsaka kwa njia ya simu Mchungaji Gwajima ili aweze kujibu shutuma za Mbasha ambazo ni kama ameziibua upya lakini simu yake haikuwa hewani.
Hata hivyo, katika mkutano wake na wanahabari Jumanne, Gwajima alisema: “…kwa hiyo Dk. Slaa si msafi. Dk. Slaa huyu wa leo si yule wa mwaka mmoja uliopita! Lakini ukiangalia kwa makini sana, si yeye, matatizo yapo kwa yule mke wake, amemkamata.”
Pia, Gwajima alianika siri akidai kuwa, Dk. Slaa aliwahi kutupiwa virago nje akalala kwenye gari baada ya kubaini kuwa, ameridhia, Chadema kumpokea waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na kugombea urais.
FLORA NAYE ANA MAMBO MENGI
Wakati Mbasha akirusha madai hayo huku akisema mkewe amemkimbia Gwajima na yuko kwingine, kwa upande wake, Flora aliwahi kusema: “Nina mambo kibao ya Mbasha, nikiyasema watu
watashangaa! Lakini siku zote mimi namwachia Mungu tu. Yeye ndiye muweza wa yote.”
MKE WA DOKTA SLAA
Kuhusu madai ya kumfukuza mumewe nje na kulala kwenye gari, mke wa Dk. Slaa, Josephine Mushumbuzi aliwahi kusema: “Najiuliza nini
kinaendelea, kuna mambo mwanamke huwezi kumfanyia mwanaume. Mume atabaki kuwa mume tu siku zote.”
SLAA AHOFIA
Kuhusu madai ya kukatiliwa kuingia ndani ya nyumba na mkewe na kulala ndani ya gari, Dk. Slaa alipoulizwa kihabari, alisema: “Mambo hayo ni ya kifamilia sana. Sitaki tu kuzungumzia mambo ya familia za watu nikiyasema utatokea mpasuko! Tuache tu.”

Vp alikugongea pole
 
Mwaka huu na majira na msimu huu itabid tuseme msemo mmoja wa marekani.

Haijalishi Kama Ataleta Maendeleo au la! Tutamchagua Obama Kuuonyesh a Ulimwengu Kuwa Marekani ni ya Kila Mtu.

Na sisi watanzania Kwa Umoja wet bila kujali tofauti zetu ndogo nyakati hizi ni nizakusema haijalishi kama Lowassa ataleta Maendeleo au la! ni wakati wa kumchagua LOWASSA wa CHADEMA/ UKAWA ili pia pamoja na ILANI elimu bure, katiba mpya, kufungua mawasiliano hasa reli ya kati pia uuonyesha na kuudhihirishia Ulimwengu kuwa Tanzania Siyo ya cicimu pekee.

Tuma ujumbe huu kwa Watanzania wasiopungua 1000 ili kuamsha na kuchochea mabadiliko ya kweli. Fursa hii ya Mabadiliko tukiipoteza itatuchukua miaka 30 tukikumbuka Mwaka 2015 tulijinyima mabadiliko ya katiba, mfumo, maendeleo.

Lowasa Mabadiliko
Mabadiliko Lowassa.

Samahani pia kama utakwazika imebidi kuonyesha Uzalendo kwa Taifa letu lenye miaka 54 ya Uhuru.

Maajabu likipitwa na hata jirani zetu Kenya aliyepata Uhuru kwa kuchelewa miaka 3 sasa ametupita kimiundo mbinu, elimu, utalii, kilimo, kiuchumi, Katiba Mpya,nk.

Na hata Rwanda iliyotoka vitani miaka ya 90 inatupita ingawa sisi ndio tuliowahi pata Uhuru, kujaliwa Rasilimali hata zisizo duniani mpaka zikaitwa majina yetu kama Tanzanite, mito, maziwa, Bahari-Bandari, vivutio vya utalii, ardhi yenye rutuba rasilimali adimu duniani ili tuanze kukimbia badala ya kutambaa kimaendeleo.
Wewe utakuwa umelipwa mafao ya uzeeeni tayari. Yaani kitu kidogo. Au wewe ndio wale mnaoamini mchawi mpe mtoto akulelee. ?? Lakini this is nat applicable kwa mtu anayetaka kwenda ikulu. Ikulu hakufanyiwi majaribio wewe. Jitambue. Haiwezekani mkapeleka ikulu mpiha madili halafu mkasema nchi iko salama. Never
 
wewe ndo huijitambui 54 ya uhuru ccm imakusaidia nini nyie ndo vibaraka wa ccm nyie ndo wa kuchalazwa fimbo maana akiliyako ka ya mbuzi vile
 
Gwajima ni muhuni flan hiv... Anatumia dini kama kichaka cha uovu wake.....eti ndo kiongoz wa kiroho wa ukawa anayetegemewa kwenye kubariki safari yao ya ikulu Ahahahaha Am So Wonders kwa kweli.
 
Upumbavu wenu pelekeni huko. Who is Mbasha and Who is Flora by the way? Pumbavu kabisa.
 
Tulia Mbasa uzuri wa mwanaume si sura ni shughuli kunako 6*6. Umeshindwa wacha wenzio wakusaidie acha umbea. Mke umenyang'anywa na kusutwa unataka pia?
 
Kuna watu ni wazinzi walio tukuka haswa kwa mtu ambaye anajifanya ni kiongozi wa dini kushindana na waumini na ubabe kuvuruga familia za watu ni hatari sana
 
Jutahidi Mbasha, kuna 150 billions hazina matumizi. Kamfereji kanaweza kuelekezwa kwako.
 
Back
Top Bottom