Mbarikiwe wadau wa MMU!

Mbarikiwe wadau wa MMU!

Kama Bwana amekuponya kwenye hili basi usirudie tena mrudie Mungu kwa moyo wako wote.
 
Kwanza ukome kuntaja taja mie nlikuambia neno moja tu"ukome" hope umekoma hurudii tena.
Huoni kuwa nimekusaidia??
umeacha kuwataja wakina snowhite huko unamtaja mie.
Narudia tena ukome ubaba huruma.
Aha ha haa. Hii inasound kizaramo kizaramo hivii. Ushawahigi katiza maeneo ya kiswazi afu ukakutana na wadada wa hivyo? Daah umenikumbusha mbali lakini.
 
Aha ha haa. Hii inasound kizaramo kizaramo hivii. Ushawahigi katiza maeneo ya kiswazi afu ukakutana na wadada wa hivyo? Daah umenikumbusha mbali lakini.
matatiz mie ni mzaramo nadumisha mila ile wengine ishashindwa.
 
Last edited by a moderator:
Kama Bwana amekuponya kwenye hili basi usirudie tena mrudie Mungu kwa moyo wako wote.
Asee nataka nianze kuhudhuria nyumba ya Mungu asee, Hakika yu Mwema.
 
Hongera kwa kupona,endelea kumtukuza Mungu maisha yako yote.
 
yap kuna baadhi walizidi kunihuzunisha kama akina utafiti munkari, amu, kingmaro, passion lady, hamjafa hamjaumbika mjue, kuna wengine walidiriki hata kuniua kwa kuniambia rip.
Ila niwashukuru kina red giant, aadilu, kibhopile, red giant, asee mjue mmeusave uhai wangu! Hasa king'asti na bawa mwamba
mbarikiwe kwakweli.


nimekupenda phewuuu, ni wachache sana wanaorudi na feedback ,ila

kuna wajapani , wachina , wakorea wote wako na sura moja

furahia maisha
 
Back
Top Bottom