Mbarikiwe wadau wa MMU!

Mbarikiwe wadau wa MMU!

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,971
Habari zenu wadau.
Leo napenda niwashukuru sana kutokana na michango yenu mlionipatia kutokana na majanga yale nilokutana nayo. Hakika mumeokoa maisha yangu. rejea hapa.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/585017-mawazo-yananiua.html

Si nikuhusu yule mdada nilokutana nae siku ile.

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/605487-mdada-wewe-wa-one-night-stand.html

Basi maisha yangu tangu siku ile yakawa ya mawazo sana wadau. Ila kuna wadau kama spleen wakani pm juu ya doz ya PEP ikabidi nizitafute dozi hizi. Haikuwa rahisi kujieleza kwa daktari lakini kwa kutetea uhai wangu nikafanikiwa na kuanzishiwa hiyo dozi. Niliitumia kwa muda wa mwezi mmoja then nikaambiwa nisubiri baada ya miez mitatu nikapime tena. Muda wote huo nilikua nikiishi kwa wasiwasi sana.
Nimeshapima mara 5 na majibu yangu yako vizuri. mpaka leo hii pia nimepima na kujiridhisha niko safi. Najisikia furaha mno:biggrin::biggrin::biggrin::biggrin:

Niwashukuru sana wadau!
 
Last edited by a moderator:
Mawazo yanainua na kufundisha sana mkuu

Ubarikiwe
 
Nimefurahi mkuu kusikia hivyo,nitafurahi zaidi kuona JF members likitokea tatizo tunasaidiana baada ya kuanza kutoa kashfa kama ule uzi ulivyokuwa unajieleza kwa baadhi ya wachangiaji........bila shaka utakuwa makini zaidi na kuwa msaada kwa wenzako.
 
Ni wachache wanashukuru...uwe mfano wa kuigwa
 
aisee!! kaka hongera!

kupima ni moyo...
 
Nimefurahi mkuu kusikia hivyo,nitafurahi zaidi kuona JF members likitokea tatizo tunasaidiana baada ya kuanza kutoa kashfa kama ule uzi ulivyokuwa unajieleza kwa baadhi ya wachangiaji........bila shaka utakuwa makini zaidi na kuwa msaada kwa wenzako.
Yap kuna baadhi walizidi kunihuzunisha kama akina utafiti Munkari, amu, KINGmaro, Passion Lady, hamjafa hamjaumbika mjue, kuna wengine walidiriki hata kuniua kwa kuniambia RIP.
Ila niwashukuru kina Red Giant, Aadilu, kibhopile, Red Giant, asee mjue mmeusave uhai wangu! Hasa King'asti na Bawa mwamba
mbarikiwe kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hahhhahhhahha ndio ukome sasa kurudi kudumbukia kwenye kila aina ya mashimo ooohhh na vifaa barabaran ndio vinazidiii
 
Kwanza ukome kuntaja taja mie nlikuambia neno moja tu"ukome" hope umekoma hurudii tena.
Huoni kuwa nimekusaidia??
umeacha kuwataja wakina snowhite huko unamtaja mie.
Narudia tena ukome ubaba huruma.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza ukome kuntaja taja mie nlikuambia neno moja tu"ukome" hope umekoma hurudii tena.
Huoni kuwa nimekusaidia??
umeacha kuwataja wakina snowhite huko unamtaja mie.
Narudia tena ukome ubaba huruma.

Siku hiz sikuelewiii mkariiiiii kwelii watakukomajeeee!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
umeona eh kupima kipaj! Ndo maana ulinikmbia ile siku ile excel
kwanza nikusalimu in the name of love..! how are you lovely charty?

then, lete story sasa mamii!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom