Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Taarifa zinaeleza kuwa maeneo ya Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, mda huu kuna Lori la Mafuta linawaka moto. Inadaiwa kuwa ni kampuni ya Mount Meru.
=====
Gari lenye tenki la mafuta limelipuka na kuwaka moto katika Mji wa Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya majira ya saa 3:00 usiku wa leo Julai 6, 2023.
Gari hilo lilikuwa likitokea jijini Dar es salaam kuelekea mkoani humo na lililipuka baada ya moja ya tairi la tenki hilo kupasuka.
=====
Gari lenye tenki la mafuta limelipuka na kuwaka moto katika Mji wa Igawa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya majira ya saa 3:00 usiku wa leo Julai 6, 2023.
Gari hilo lilikuwa likitokea jijini Dar es salaam kuelekea mkoani humo na lililipuka baada ya moja ya tairi la tenki hilo kupasuka.