Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
Kwa taarifa za hivi karibuni ni kwamba halmshauri ya wilaya mbalali mambo si mambo tena kwani lile diri la kutumia zaidi ya shs bilion mbili za miradi kwa kugharimia posho limegeuka kuwa dirisha, baada ya PCCB na POLISI kuvamia offisi za halmashauri leo mida ya saa tano hivi na kuwachukua watendaji mabalimbali tayari kwa hatua za kisheria. ktk harakati zangu nilipata bahati ya kuongea na mwenyekiti wa halmashauri hiyo ambaye alijibu moja kwa moja kuwa ni kweli ubadhilifu huo umefanywa, lakini yote ni kutokana na mweka hazina kutokuwa na sifa na kwa upande wa mwingine serikali kutokudhingatia kwani ameharibu sehemu nyingi, na mbaya zaidi amekuwa baada ya kubanwa akitumia mpaka njia ya kuwahonga madiwani ili hatua hizo zisichukuliwe.