casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,143
goli la pili alipiga chenga timu nzima hili halitasahaulika.uko sahihi lakini akifananishwa na pele kuna vitu anazidiwa.hiyo mechi kulikuwa na tukio moja tu ??
mbona mashabiki mnakuwa watu wa hovyo hovyo...!