Mbappe kanitekea demu wangu

Ila Wanawake achen unafiki jaman.

Mara mpendw mwanaume mwenye ndevu.... Mara akiwa Hana ndevu ndo mnapenda


Tueleweje Sasa ,, au nikiwa nanyoa, nusu kidev ninyoe kiparaaa, nusu inayobakia niache ndevuu???
 
We phalla umeniwahi.
Kwa kifupi ukiwa na mpenzi mwenye utani mwingi, yuko huru kwako unataka nini zaidi?

Hata mwanaume ukiwa na viutani vingi vyenya mipaka ni rahisi kuwateka hawa wadudu 🤣🤣🤣

Mimi sipendi msichana aliyepooza kama mlenda.
Napenda changamoto, utani nk.

Hapa jf kuna wadada wajanja wa janja sana na ukiangalia wana followers wengi sana.
Sababu kubwa ni mvuto kupitia utani
 
Followers wengi kuanzia wangapi 😂😂
 
Sanaaaa Mkuu, userious ulopitiliza, unatukimbizaga.


Unakuta dsmu kumsemesha tu ,anakupa Jibu la userious sanaaa + Kifungu Cha Biblia🤣🤣

Unawajua wadada wa kisabato na kirokole??. Ni ma pretenders balaa !!.
 
Kama hujui ni hivi
" Yupo mbappe anapiga malimba kwenye antenna ya mkeo mtaani"
Kaa kwa kutulia
 
Sanaaaa Mkuu, userious ulopitiliza, unatukimbizaga.


Unakuta dsmu kumsemesha tu ,anakupa Jibu la userious sanaaa + Kifungu Cha Biblia🤣🤣

Unawajua wadada wa kisabato na kirokole??. Ni ma pretenders balaa !!.
Mwishoww wanaanza kuandika nataka mume yeyote maadam anapumua...wanaishia kuolewa na wanywa gongo
 
Sijui ndio huyohuyo au vipi ,maana mimi kuna manzi nina namba yake tokea jana hadi leo status za makopa kwa Mbappe na kumbe za mahaba mpk Dp kaweka ya Mbappe mpaka nahisi amekuwa kichaa tayari.
😅😅😅😅 Hatari sana kwa aina ya viumbe mnaomiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…