Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,417
Wewe wapo wenye good morphology bana sio iyo. Wao waseme wanataka Nini. Mana huyu akija dar ama bongo atakuwa Kama Ile Chris brown mademu walikuwa wanatoa $1000 ili wakutane naye tu. Sasa huyu naye akija bongo mademu na mchepuko yetu itaumwa ama itapata matatizo hapo wapate hata hela ya kumuona mbape ujueHuyo Mbape ameteka wanawake wengi hata sio wako tu. Nadhani ni ile good morphology aliyonayo inapagawisha wadada
ndio mkuuTuchangamkiane
Nishaanza kuukataa tayari Dr Mana nishajua anataka kucheza medani ganiKaka ni yule alozaliwa naye tumbo Moja.
Kataaaa katakata Undugu wa Lazima🤣🤣
Huyo Kuna kitu anataka kukunyimia
Sikukuu hizindio mkuu
muhimu hiyo
Lazima auone Uanaume wako, ajue upo serious .Nishaanza kuukataa tayari Dr Mana nishajua anataka kucheza medani gani
Usifanye Moyo kua mgumu🤣Aah Sawa basi w kaka angu kabisa kabisa
tena zimewadiaSikukuu hizi
☺️Si kweli usijifarijii😂
Na zimebaki chacheeeeetena zimewadia
counting days tu hapaNa zimebaki chacheeeee
Tunakulia wapi sikukuu?.counting days tu hapa
nyumbani tu hapaTunakulia wapi sikukuu?.
Cha kufanya na wewe chukua picha ya Beyonce au mwanamke yeyote maarufu mpost na msifie kama anayofanya yeyeHabari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Mmhhh Dar ?nyumbani tu hapa
nje ya DarMmhhh Dar ?
Sawa tutafikaaa tujumuike pamoja.nje ya Dar
😂😂😂😂acha tu tule kwa macho🤣🤣 Na mtaishia kuitamani hivohivo ila sisi ndo tunakulana.
okay karibuSawa tutafikaaa tujumuike pamoja.