Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #81
Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Kwanini hizi tiba ni kwa wanaume tu peke yao? Kwakua mimi najua hizi tiba anazoongelea Ruta na nyinginezo ni kua ukishapata unatakiwa usiwe mbali na Ndude! Sasa swali langu ni je hakuna tiba kwa kina Preta na wenzake nao kua wakishatumia na wao wasiwe mbali na kina PJ na kina RUTA?
Preta akisha meza hii mijuisi anajua mahali pa kunipata nilikwisha kumweleza........................[MENTION]Ndallu[/MENTION] hii kitu inakula pande zote haichagui dume au jike..........wote mkiitafuna mjue yenu mbaya...........
Last edited by a moderator: