kwa sababu wote tuna mazingira yanayoshabihiana siez fananisha na EUROPE wakati wale wapo mbali sana kimaendeleo so nachukulia mfano wa afrika kwani sisi sote almost matatizo yetu yanafanana na pia viongoz tunaowahitaji ni wale wenye uzalendo na pia wenye kujiamini..
kwann tunahitaji viongoz wazalendo kwa sababu katiba zetu hazina makucha ya kumuadhibu mtawala ndio maana tunataka viongoz watakao kua self committed ambao hatuhitaji katiba kumuadhibu kwani atakua anafanya kazi kwa uzalendo wake ..
kwann tunahitaji mtu anaejiamini kwa sababu ya kuvunja unyonywaji wetu kutoka kwa mabeberu na kusimamia rasilimali zetu
tofauti na europe ambako wao katiba zao zinauwezo wa kumwadhibu mtawala so lazima tuu atafuataabmatakwa ya wananchi