MBA-Mwenge University

MBA-Mwenge University

tatizo hana qualifications za kula nondo za pale udbs.

Mkuu acha dharau, unayajua matokeo yangu tangu sekondari hadi chuo kikuu? Unajua nafanya nini hadi unahitimisha kijinga hivyo? Kwa taarifa yako, naweza kusoma chuo chochote hapa bongo
 
Mkuu acha dharau, unayajua matokeo yangu tangu sekondari hadi chuo kikuu? Unajua nafanya nini hadi unahitimisha kijinga hivyo? Kwa taarifa yako, naweza kusoma chuo chochote hapa bongo
SAMAHANI MKUU,

KWANI WAISHI MOSHI?
 
Yani kweli maisha yanatofautiana sana.wakat wengine tunawaza kwenda kupiga MBA zetu vyuo kama london university au hata cambridge,wengine wanawaza kwenda kusoma mwenge wa uhuru university!anyway vipaumbele vinatofautiana.
 
Nenda tu kapige pale Mwenge chuo kiko poa sana na ni cha zamani. Mi mwenyewe nipegia hapo na nipo nawakimbiza vibaya mno hapa UDBS
 
Wakuu, naombeni ushauri nataka nisome MBA ya hiko chuo cha Moshi vipi kuhusu ubora wa hiki chuo, na credibility yake?
mkuu, achana na hivyo vya KATA. ukitaka kupata elimu bora ya MBA nenda SUA mkuu.
 
Wewe ndio wa mchangani naona hata haupo updated. Muccobs hatunayo tena.

Mwenge ni chuo kizuri sana acha kukariri.
Hiyo n styl y kuandka tuu.... Ww ulitaka niandke kama naandika disertation!!!??? Ths is communicatn languag... No neccesity y kuandka formal lg....

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom