wow then thats good of you and i dare say congratulations for that, but on the red color it seems like you have taken my curiousity as an offence or something embarassing you,if thats it then am sorry though i realy was just being curios Nyani Ngabu.
Omg Mbona kama tunafanana hobbies ?Napenda flirting with my man,talking dirty mana ni yeye tu naweza ongea nae ,playing and doing stupid things,roaming around town usiku,going out,kupunguziana stress when i have a hard day nk..flaws and all,mapenzi mazuri jamani,hata kama tunadanganyana there are men u never regret to meet...and life is wonderful with them....and lately sijielewiii,ts like am falling for sm1 hadi naogopa..
I'm neither miffed nor mortified. So let not your heart be troubled.
Omg Mbona kama tunafanana hobbies ?
What's good Bossman....
I'm just tryna keep it 100.
Manake usikute watu hata hawataki kabisa waume/wake zao wajue kuwa wamo humu.
Na hata kama wanajua, basi huenda wanawajua kwa jina moja tu. Hivi umeshawahi kuwaza mtu kama Zinduna anatumia majina gani mengine humu?
Wangapi huwa wanadai wako kwenye ndoa na watoto juu lakini wana wabebs wao humu ndani?
It's befuddling, to say the least!
Wakubwa shikamooni wadogo marahabaa!
Leo tuzungumzie namna tunavyofurahia maisha na wapenzi wetu/wake/waume.
kila siku tumekuwa tukiona malalamiko mengi haswa juu ya ndoa. mliopo kwenye ndoa tuelezeeni matamu mnayopitia au mliyopitia japo mtuhamasishe sie mabibi harusi na mabwana harusi watarajiwa.
Vyovyote itavyokuwa mahusiano hayaweza kuwa mabaya completely.
share nasi good moments tu. kwa mlio single mnaweza share mazuri ya maex wenu.
NB: tuyatizame mahusiano kwa mtazamo chanya.
cc Kongosho, King'asti, Fixed Point, nyumba kubwa, Snowwhite Preta Heaven on Earth, Karucee miss chaga Vaislay Mwanajamii 01 Caroline Danzi sweetlady AshaDii miss neddy lara1 Kaunga Kaizer Nyani Ngabu Mtambuzi Daudi1 Katavi Rocky city @@rogie Dark City Sam Love The Boss Mbu EMT....................... wengineo wote
Halafu wewe, hulali mpaka shurti unitaje, wanitakiani mwana wa mwenzio?
Hommie kuna mtu alikuwa anabisha au BADILI TABIA kachepuka barabara ya vumbi?