Daughter,
Nimeongea na Mayor wa Jiji la Mwanza. Amekiri kuwa jitihada kubwa inafanyika kusimamia usafi. Lakini Bajet yao ya kwanza ndiyo hii ambayo inapitishwa sasa Bungeni. Tender nazo pia ndizo zinapitishwa sasa. Naomba tufuatilie sote ili tuwe na Mwanza safi na inayovutia.
Balantanda
Kuna baadhi ya masawali yako naweza kuyajibu,
Suala la msimamo wa Slaa kuhusu mwafaka wa Arusha nafikiri hili liko wazi ni kuwa yeye kama Slaa(chama) kimeshaunda tume kwa hiyo hadi sasa sidhani kama anaweza kuwa na jibu sahihi lolote vinginevyo ile tume itakuwa haina maana.
Kuhusu mikakati ya kujiweka karibu na wananchi ukiachilia mbali operation sangara nafikiri hata hili alishalitolea ufafanuzi kuwa kila wanapofanya mikutano iwe maandamano kongamano nk sambamba na hayo wanafungua matawi ya chama, kuna mpango wa kuwashirikisha wanavyuo na kufungua matawi vyuoni, leo katuambia yuko Kisarawe kwa shughuli hiyo hiyo. Vile vile nishawahi kusikia kuwa CDM hawaigi mbinu ya CCM ya kufungua matawi kila sehemu wao wanafungua sehemu zenye tija tu ili kupunguza gharama mfano vyuoni.
Kuhusu swali lako la kwanza hilo ni pana ndugu yangu mwenyewe Slaa atalijibu maana ni idiology ya chama ni vision and mission huwezi kusema lengo la chama ni kushika dola basi hapana lazima uende zaidi ya hapo then......
There are currently 167 users browsing this thread. (53 members and 114 guests)
- Balantanda
- Feedback
- Shomari
- GIUSEPE
- hamidshaban
- Nalonga
- Sizinga
- Froida
- Mzito Kabwela
- Technology
- ukwelikitugani
- apolycaripto
- CottonEyeJoe
- baraka boki
- kagosha
- MsakaGamba
- Mnyamahodzo
- chipanga
- Malalika
- hoyce
- peaceficky
- Ninaweza
- AirTanzania
- mwanakazi
- TheOne
- Baiskeli
- Nanren
- babayaro
- Wambandwa
- Msongoru
- mshikachuma
- moblaze
- ndetichia
- kichomiz
- mbiktiraa
- Zanta
- Dr G
- dedam
- Swash Bizo
- kitungi
- Mathematic
- Saigon
- The Invincible
- LoyalTzCitizen
- Mulugwanza
- Dr.W.Slaa
- Developer
- Mbangaizaji
- Pawaga
- migomo ya vyuo
- mwabaluhi
- Kikwebo
- Paddy
Shikamo Mhe. Slaa....
Pole sana na shughuli za kila siku za ujenzi wa CHADEMA na Taifa....
Binafsi nina maswali matatu...
1. Ni upi hasa mlengo wa CHADEMA kama chama mbadala katika utawala wa Tanzania?,
2. Ukiachana na operesheni Sangara CHADEMA mna mkakati gani wa kujitangaza na kujiweka karibu na wananchi(kila wakati) mfano kufungua
matawi katika ngazi ya vijiji na vitongoji na hata mitaa/mashina?,
3. Nimesikia kuhusiana na mkanganyiko wa muafaka baina ya CCM na CHADEMA Arusha ambapo nilimsikia Mbunge wa Arusha mjini Mhe.Godbless Lema
akitoa taarifa rasmi kuupinga muafaka huo na baadaye nilimuona Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mhe.Freeman Aikael Mbowe(kupitia TBC)
akisema kwamba hana taarifa na muafaka huo.Swali ni je?,wewe nini kauli ya chama kuhusiana na mkanganyiko huu?,na je chama katika
ngazi ya wilaya na mkoa hakikuwa na taarifa na yale yote yaliyokuwa yakiendelea katika kufanikisha muafaka huo?.....
Nakutakia kazi njema na salamu kwa familia.
Bala.
WanaJF,
Naamini hamjambo. Msiwe na wasiwasi, nimejaa tele vijijini. Kazi kawaida ya Chadema mapambano yanaendelea Bungeni, na Slaa anaendelea kujenga Chama. Wiki hii nilikuwa Wilaya ya Kisarawe, na tumefanya mikutano mikubwa Chole, Maneromango na jana tumehitimisha Kisarawe mjini. Kazi yetu kubwa ni kuwaelimisha watanzania, kuwaamsha wajue majukumu yao katika kulinda rasilimali zao, kuwasaidia kwanini tuko kwenye harakati za ukombozi wa mara ya pili, ambao kimsingi ni mgumu kuliko kazi ya kumwondoa mkoloni. Hii ndiyo kazi ya Dr Slaa na Sekretariat yake. Time is money hatuna muda wa kupuuza kujibu maswali yasiyo na tija kwa Mtanzania. Kama ni posho na mishahara ya Dr Slaa hata Kisarawe wametuelewa. Wamejua jinsi TRA ilivyo wazembe wameikimbia Chadema baada ya kuja kwa mbwembwe, na leo washindwa kwa aibu kwa kuwa tumewaonyesha ukwepaji mkubwa ulioko serikalini ni aibu tupu. Kama rafiki yangu anahitaji kufahamu naomba afuatane nasi ziara ijayo vijijini.
Kama yuko mwenye maswali yenye tija kwa Taifa hili, pamoja na shughuli nyinmgi, pamoja na ukosefu wa umeme niko tayari kuyajibu. Lakini yenye tija kwa Mtanzania siyo ya kujifurahisha.
Dr Slaa una majukumu mazito kwa Taifa, sitegemei kama utajibu hawa waandishi wa magazeti ya udaku, hapa nategemea utueleze ni lini huyu Mamluki Shibuda mtamuondoa ndani ya chama, hafai hata kidogo.
Kumbuka ukiona mtu hata ccm hawamtaki basi juwa huo ni mzigo usiobebeka.
Dr Slaa kipenzi cha watanzania yupo vijijini anawaelimisha watanzania ili wajue dhuruma ya chama cha MGAMBA CCM dhidi ya watanzania.
Dr Slaa mimi maswali yangu ni haya;
1. Kuna mkakati gani wa CHADEMA kuwa na makao makuu yenye hadhi ya chama chenu? CUF wamelimudu hili nawapongeza sana.
2. Ni lini huyu muhuni Shibuda mtamuondoa ndani ya chama kwa sababu kwa kanuni za CHADEMA ameshapoteza uhalali wa kuwa kwenye kambi ya wapenda mabadiliko?
3. Pamoja na ukweli kwamba Dar es salaam ndio mkoa unaoongoza kwa kuwa na wajinga wengi je kuna mikakati gani ya kuhakikisha chama kinafanya vizuri kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa? chama cha CUF eneo hili wamejipanga vizuri sana.
Ni hayo tu nitarudi.
WanaJF,
Naamini hamjambo. Msiwe na wasiwasi, nimejaa tele vijijini. Kazi kawaida ya Chadema mapambano yanaendelea Bungeni, na Slaa anaendelea kujenga Chama. Wiki hii nilikuwa Wilaya ya Kisarawe, na tumefanya mikutano mikubwa Chole, Maneromango na jana tumehitimisha Kisarawe mjini. Kazi yetu kubwa ni kuwaelimisha watanzania, kuwaamsha wajue majukumu yao katika kulinda rasilimali zao, kuwasaidia kwanini tuko kwenye harakati za ukombozi wa mara ya pili, ambao kimsingi ni mgumu kuliko kazi ya kumwondoa mkoloni. Hii ndiyo kazi ya Dr Slaa na Sekretariat yake. Time is money hatuna muda wa kupuuza kujibu maswali yasiyo na tija kwa Mtanzania. Kama ni posho na mishahara ya Dr Slaa hata Kisarawe wametuelewa. Wamejua jinsi TRA ilivyo wazembe wameikimbia Chadema baada ya kuja kwa mbwembwe, na leo washindwa kwa aibu kwa kuwa tumewaonyesha ukwepaji mkubwa ulioko serikalini ni aibu tupu. Kama rafiki yangu anahitaji kufahamu naomba afuatane nasi ziara ijayo vijijini.
Kama yuko mwenye maswali yenye tija kwa Taifa hili, pamoja na shughuli nyinmgi, pamoja na ukosefu wa umeme niko tayari kuyajibu. Lakini yenye tija kwa Mtanzania siyo ya kujifurahisha.
Dr Slaa una majukumu mazito kwa Taifa, sitegemei kama utajibu hawa waandishi wa magazeti ya udaku, hapa nategemea utueleze ni lini huyu Mamluki Shibuda mtamuondoa ndani ya chama, hafai hata kidogo.
Kumbuka ukiona mtu hata ccm hawamtaki basi juwa huo ni mzigo usiobebeka.
Malaria Sugu
Today 02:32 PM
#1
JF Senior Expert Member
Join Date : 2nd August 2009
Posts : 5,770
Rep Power : 35
Sisi tumezidiwa. Vigogo ccm njooni jf.
Katika Ripoti zetu tumeitaja Jf kama ndio source ya Kutunyima Ushindi. ni wazi ilitunyima ushindi. jee hatua gani tumechukua kukabiliana nazo?
kwa bahati, CHADEMA inatumia ipasavyo fursa hii hasa kwa viongozi wake kutoa ufafanuzi mambo ya msingi. kwa mfano dk slaa. Mh zitto a hata wabunge. Hii inawafanya hao kwa kiasi kupanda chati (MS bana hataki thanks kwa hili)
Huingia kwa majina yao. hiii inawafanya hata wale ccm kulainika. Leo MS ashajibiwa sana Hoja na Dk slaa hadi kufikia Kulainika juu ya kiongozi huyo
Nadhani imefika wakati vigogo wa CCM njooni waziwazi jf tujibu mapigo.
vyenginevyo mtapoteza wanachama wengi wanaojiunga na Jf na kuchukuliwa na Chadema kutokana na wao kuingia mojakwamoja jf
Lakini . MUJE NA NGOZI NGUMU. YAANI MSIVUE MAGAMBA
Ndugu zangu wa JF tupunguzeni lugha za matusi. Let's acts in a more civilized manner.
leo malaria sugu kaongea na rais wa tanzania..bila hata chenga moja..
Mkuu huo sasa ni ushabiki ambao Dr Slaa haupendi, labda hujui kama Dr Slaa hapendi upambe usiokuwa na maana, nasubili jibu kutoka kwa Rais wangu ninayemtambuwa Dr Slaa.kwa hilo swali la kwanza namsaidia, makao makuu ya chama na yenye hadhi ni kuiteka mioyo ya watanzania wanaoonewa tu, hakuna mako mazuri km ya wananchi.
Mkuu inawezekana yupo online kwa kutumia simu, maana alisema Laptop yake muda wowote itazimika chaji imemuishia na alipo hakuna umeme, kwahiyo nahisi anasoma kwanza maswali ili akija afanye majumuisho. ni mawazo yangu tu mkuu,.....Naona Dr. Slaa kawa kimya muda mrefu kweli na maswali yazidi kuongezeka....
Ila inaonekana bado yupo online.....
Bila shaka anachukua notisi kama si kujaribu kusolicity mambo ambayo yanaikera jamii, kupitia maswali anayoulizwa hapa. Na kwa upande mwingine, kama kiongozi hapaswi kukurupuka tu na kutoa majibu ambayo yanaweza kuwa risasi ya kummaliza kesho. Ukumbuke huyu ni public figure, chochote atakachosema kwa kukurupuka kesho kitakuwa kwenye magazeti na title ya CHADEMA wamesema... hata kama atakuwa ametoa mawazo yake binafsi. So tumpe muda inawezekana pia anawasiliana na wenzake kujua msimamo wa chama.Naona Dr. Slaa kawa kimya muda mrefu kweli na maswali yazidi kuongezeka....
Ila inaonekana bado yupo online.....
leo malaria sugu kaongea na rais wa tanzania..bila hata chenga moja..
daktari shikamoo.
asante kwa kuja kuchangia maswali yangu.
muuza mitumba analipa kodi iweje kiongozi mkuu wa chama upate posho milioni 7.5 bila kodi.
kulipa kodi ni wajibu wa sisi raia wote. uzembe wa TRA si sababu ya kushindwa kulipa kodi. ukishindwa kulipa kodi unakuwa na kosa. tuambie kwanini ni sawa kwa wewe kuwa na pato la milioni 7.5 na kushindwa kulipa kodi.