Mazoea yanaleta dharau

Nani tena anataka kukuua jamani mbona mambo ni mengi muda mchacheπŸ˜…
 
Kwenye maisha usiwe unatabirika ndio inapendeza...
Kwenye jamii huwezi kukataa mazoea kabisa, yaani usichangamane na jamii iliyokuzunguka ni ngumu.
Ila usitabirike na kuwachekea chekea hovyo..
Mazoea sio kwamba kukwepa kuchanganyikana... Nadhani ni yale mazoea ambayo mtu anavuka mipaka kiasi kwamba anaingilia faragha yako...
 
Ni sehemu sensitive sana . Ukijichanganya ukafunguka mambo yako binafsi.. umekwisha
Wale ni co-workers tu kilichowakutanisha ni kazi sio marafiki. Hata mademu wa kazini sio wa kutongoza wala kulomba.

Fanya kazi rudi kwako epuka vikundi vya kukaa pamoja wakati wa mapumziko au mnapotoka.

Mambo ya kikazi tu ndiyo yawakutanishe nje ya hapo kimbia baada ya kipenga cha kufunga ofisi
 
Nakubaliana nawewe πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…