TauHeeeD
Senior Member
- Feb 15, 2013
- 191
- 134
Mie nataka kuwa wakala wa hayo maziwa ya brookside, kwa mwenye uelewa tafadhali naomba maelekezo aidha ya contact zao, namaanisha Kenya. Msaada please!
Yana wakala registered na wapo arusha, haya maziwa ni salama na kwa mletamada wewe ni kengele tu na sauti yako inayokereketa