Khaa!! Hapa tunazungumzia maziwa sasa habari ya viroba inatokea wapi tena??Viroba vya TDL, Orijino na Jogoo ni hatari kuliko hayo maziwa....! Madhara yake yanaonekana waziwazi...
Inaweza ikawa kweli yana sumu au huenda ni ushindani wa kibiashara na kina Bakhresa.
Brookside ni kampuni kongwe sana na inamilikiwa na familia ya mzee Jomo Kenyatta, ambapo msimamizi mkuu kwa sasa ni Uhuru Kenyatta akishirikiana na mama yake wa kambo, Mama Ngina.
Sio mama yake wa kambo, ni mama yake mzazi. Huyu wakati anazaliwa, baba yake ameshazeeka kabisa .
Viroba vya TDL, Orijino na Jogoo ni hatari kuliko hayo maziwa....! Madhara yake yanaonekana waziwazi...
Tatizo watu wa sasa hivi uzungu mwingiView attachment 225344
Madhara Yake Ni Yapi Na Yakoje? Fafanua Mkuu,ili Wanywaji Wakupate Vyema?
Hapana mkuu... maziwa hayo hayawekwi chochote zaidi ya kuwa heated at a very high temperature in very short period/time na then kupoozwa very fast... na hii ndio technique pekee inayofanya yanakua na very long shelf life kuliko yanayochemshwa kwa njia ya kawaida