Mazishi ya mwandishi James Mwakisyala leo Pugu!

- Pasco, NIMEMUULIZA SANA MWENYEKITI MENGI KWAMBA KWA NINI HUU MSIBA UMEKWUA LOW PROFILE? AMENIAHIDI KUFUATILIA NA ATANIPA MAJIBU, NA PIA MKUU KASESELA ALIKUWEPO NA YEYE NI MIMI NILIYEMPIGIA KUMUARIFU, I AM VERY DIS-APPOINTED CAUSE HUYU JAMES AMEKUWA MUANDISHI WA TAIFA KWA MUDA MREFU SANA, WHY HAKUPEWA NATIONAL COVERAGE? NI A MILLION QUESTION JE KUNA MAHALI ALIANDIKA SOMETHING AMBACHO HAIKUWAFURAHISHA WATU FLANI AU WHAT?

WILLY!!
Asante sana Mkuu William kwa update.
Maadam Mzee wa IPP alikuwepo na aliyekaa jirani yake hapo kwenye picha yako ni Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications ambayo ndio the second giant media baada ya IPP, lets hope at least msiba huu wa mwanahabari utapata media coverage japo after!.

Kiukweli nimesikitishea na ukimya wa hivi vyama vyetu vya habari, TAJA, TAMWA, TUJ, MISA, JET, MCT, MOAT, na Jukwaa la Wahariri, kwenye msiba wa mkongwe huyu!.

RIP JM!.
 


LEO KWENYE MAZISHI YA BROTHER JAMES, KULIA NI MWENYEKITI WA IPP MZEE MENGI, KATI KATI NI MKURUGENZI RICHARD KASESSELA, NA MWISHO YOU WHAT I MEAN!!

WILLIE!!
Asante sana kwa taarifa W.J.Malecela. RIP James Mwakisyala.
Lakini, @W.J. Malecela, ulikosa nguo za kuvaa mpaka ukuvaa hilo guo alama ya ufisadi na ukatili, hilo shati la kijanni?
 
Mwenyenzi mungu nakuomba sana umpokee huyu mtumishi wako uliyemwita kwako kutoka dunia hii.upende kwa wema wako
Hi sala yako hata kwenye mawingu haikufika. Unasubiri mtu afe ndo utoe sala mfu kama hii? Mungu atamtendea kwa kadiri ya matendo yake wakati akingali hai
kuzibariki kazi njema ulizomjaalia kuzifanya alipokuwa hai nasi utuwezeshe kuiga mfano wa mema yake na kujitenga na uovu daima.
Hapa tuko pamoja na Mungu wangu wa UTATU akubariki...
 
- AND BESIDES CELF CENTERED ... I AM A GREAT FOLLOWER OFF, HA! HA! HA!,

WILLIE!!
"besides celf centered ... follower off " ni broken language, ndio matokeo ya kuishi nje kwenye ma immigrant communities siku zote, matokeo yake unakaa Marekani miaka 30 unarudi hujui hata ku spell neno "self."

Umeleta habari sawa, lakini mambo ya kutueleza umeahirisha kwenda mialiko makanisani inahusiana nini na huu msiba?
 
"besides celf centered ... follower off " ni broken language, ndio matokeo ya kuishi nje kwenye ma immigrant communities siku zote, matokeo yake unakaa Marekani miaka 30 unarudi hujui hata ku spell neno "self."

Umeleta habari sawa, lakini mambo ya kutueleza umeahirisha kwenda mialiko makanisani inahusiana nini na huu msiba?

- ha! ha! ha! ndio kawaida ya nyani huwa ni vigumu kujiona his behind, so RIP James!!, I mean ma immigrant ndio watu gani hao bro?


Willie!!
 
Asante sana kwa taarifa W.J.Malecela. RIP James Mwakisyala.
Lakini, @W.J. Malecela, ulikosa nguo za kuvaa mpaka ukuvaa hilo guo alama ya ufisadi na ukatili, hilo shati la kijanni?

- Si unajua nilikuwa pia nawakilisha chama changu!! yaani chama tawala!

Willy!!
 
James Mwakisyala alikuwa mwandishi wa habari wa kuigwa na hawa vijana wanaoanza katika profession hii; alikuwa journalist makini na mwenye intergrity na ndio maana aliweza hata kuwa bureau chief wa THE EAST AFRICAN hapa bongo. Hakuwa mwandishi wa bahasha kama wengi wao waliopo sasa. BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE. Ukagone malafyale!!
 
Jamani mimi nilimfamu james kwa muda mrefu. mmoja wa watu ambao wanaweza kumsimulia vizuri Mwakisyala ni Seth Kamuhanda Katubu Mkuu Wizara ya Habari. kilichochangia msiba wake kuwa na low profile ni kwa sababu James aliondoka Daily News miaka ya 1993 kwenda kuwa afisa Habari wa Benki Kuu na baadaye kuondoka pale baada ya kugombana na Govana wa wakati ule sijui ni Idrasa au Mwingine akaenda kuwa Bureau Chief wa gazeti la East Africa. Nakumbuka wakati wa uhai wake Governor wa Benki Kuu alitishia kutopeleka matangazo yake the East Africa kwa sababu tu alikuwepo Mwakisyala ambaye alikuwa mgomvi wake. baadaye amwakisyala alianzisha magazine yake iitwayo East Africa Business or something closer to that. Kwa hiyo naweza kusema katika miaka yake 10 ya mwisho wa uhai wake hakuwa active kwenye mainstream media na hivyo hakuwa anafahamika sana na waandishi wa dot com.
 
Jamani mimi nilimfamu james kwa muda mrefu. mmoja wa watu ambao wanaweza kumsimulia vizuri Mwakisyala ni Seth Kamuhanda Katubu Mkuu Wizara ya Habari. kilichochangia msiba wake kuwa na low profile ni kwa sababu James aliondoka Daily News miaka ya 1993 kwenda kuwa afisa Habari wa Benki Kuu na baadaye kuondoka pale baada ya kugombana na Govana wa wakati ule sijui ni Idrasa au Mwingine akaenda kuwa Bureau Chief wa gazeti la East Africa. Nakumbuka wakati wa uhai wake Governor wa Benki Kuu alitishia kutopeleka matangazo yake the East Africa kwa sababu tu alikuwepo Mwakisyala ambaye alikuwa mgomvi wake. baadaye amwakisyala alianzisha magazine yake iitwayo East Africa Business or something closer to that. Kwa hiyo naweza kusema katika miaka yake 10 ya mwisho wa uhai wake hakuwa active kwenye mainstream media na hivyo hakuwa anafahamika sana na waandishi wa dot com.



Nimewahi kusikia hili. Kwamba "A journalist is, as good as his last by-line." Usipoandika kwa muda mrefu unafutika. Lakini ni jambo la kushukuru kwamba walikuwapo watu kutambua nafasi ya James Mwakisyala katika dunia ya Habari. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema.
 
I mean ma immigrant ndio watu gani hao bro?Willie!!
Nitakufafanulia.

Ile community uliyokuwa ukiishi miaka 30 na ushee ulizungukwa na watu ambao mostly wanaongea Kihaya na Kiswahili, ni lazima utarudi nyumbani unaandika maneno kama "celf...I am a fan off"! Na hii ndio drawback moja ya kuishi kwenye ma immigrant communities, yani unarudi kama ulivyoondoka. Unaenda msibani na shati la CCM kubembeleza ukuu wa wilaya, nani atakupa cheo wewe wameshakushtukia una screws mbili tatu kichwani zimelegea? Unadhani hawakusomi humu mitandaoni unavyojichora? Habari ya msiba unatuchanganyia na "nimeahirisha kwenda kwenye mialiko makanisani." Mshamba mkubwa.
 
- KWANZA HAKUNA MEDIA OUTLET HATA MOJA ILIYOSEMA KUHUSU KIFO CHA MUANDISHI MAARUFU SANA TANZANIA HUY, IT WAS MY SELF EFFORT KUISEMA KILA MAHALI KUANZIA MY BLOG, MY FACEBOOK AND HERE!! AND I AM EVEN BRINGING YOU A PICTURE OF IT!! SO RESPECT THAT!!

- AND BESIDES CELF CENTERED NDIO THE HEART OF CAPITALISM WHICH I AM A GREAT FOLLOWER OFF, HA! HA! HA!, REMEMBER HOW THE US THEORIES FAILED OUR NATION BIG BIG TIME SO CHANGE BRO! HA! HA! HA!

WILLIE!!

Jamani lugha kama huijui vizuri ni lazima uitumie? Mijitu kama hii utakuta hakuna lugha wanayoijuwa zaidi ya lugha mama, kwa huyu kijana wetu inaonesha ni kihaya.
 
Nitakufafanulia.

Ile community uliyokuwa ukiishi miaka 30 na ushee ulizungukwa na watu ambao mostly wanaongea Kihaya na Kiswahili, ni lazima utarudi nyumbani unaandika maneno kama "celf...I am a fan off"! Na hii ndio drawback moja ya kuishi kwenye ma immigrant communities, yani unarudi kama ulivyoondoka. Unaenda msibani na shati la CCM kubembeleza ukuu wa wilaya, nani atakupa cheo wewe wameshakushtukia una screws mbili tatu kichwani zimelegea? Unadhani hawakusomi humu mitandaoni unavyojichora? Habari ya msiba unatuchanganyia na "nimeahirisha kwenda kwenye mialiko makanisani." Mshamba mkubwa.

- Hii ni habari ya msiba, heshimu msiba wa wenzako au kwa vile aliyekufa sio ndugu yako ndio maana thread yake unaleta mambo ya wivu wa kike huko mtaani?

- Hapa mjini wanaume kama wewe watu wanaishia kuwavalisha kangha, heleni, kipini puani na shanga kiunoni, kwa sababu sijawahi kuishi miaka 30 New York, halafu sikujui wala sijui jana ulivaaa shati rangi gani lakini wewe tizama mwanaume mzima unavyohaha na kunifuata fuata nini hasa tatizo lako?

- JF iliwahi kumpa nani uongozi wa taifa au mitandao iliwahi kumchagua nani laba wewe tu, wacha wivu wa kike halafu heshimu msiba wa watu bro, ukitaka kunijadili zipo thread zaidi ya 100 humu kule vichochoroni nenda kule hapa heshimu msiba wa watu!! MSHAMBA NI MWANAUME ASIYELALA KWA AJILI YA KUFUATILIA MWANAUME MWINGINE AMEVAA SHATI LA RANGI GANI, HAPA MJINI BE CAREFULL BRO MAANA TABIA ZA NAMNA HIYO NI NOMA SANA!

RSPECT BRO!!

LE MUTUZ!!
 
Asante sana Mkuu William kwa update.
Maadam Mzee wa IPP alikuwepo na aliyekaa jirani yake hapo kwenye picha yako ni Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications ambayo ndio the second giant media baada ya IPP, lets hope at least msiba huu wa mwanahabari utapata media coverage japo after!.

Kiukweli nimesikitishea na ukimya wa hivi vyama vyetu vya habari, TAJA, TAMWA, TUJ, MISA, JET, MCT, MOAT, na Jukwaa la Wahariri, kwenye msiba wa mkongwe huyu!.

RIP JM!.


hivi ishu ya vyama vyoote hivo iko ki siasa zaidi
siasa za ki communists na ki socialists hivi...

vyama viiingi but quality still ndoogo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom