Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
hili jamaaa jinga sana
Haha yamekua hayo mkuu,
hili jamaaa jinga sana
hili jamaaa jinga sana
Vp kwa kupanga karbu na chuo vyumba bei gnMe nasoma apo mkuu nimejitolea kuwa mwenyeji wako....mazingira ni mazuri sana na ni rafiki kwa kila mwanafunzi
uroho bhanaaaaUkithubutu kula nyama, umekula mbwa.. mzee.
Kuna mwaka nililishwa mbwa, nyama ilikauka vizuri.. mwisho wa picha kumbe mbwa.
Hahaha dah ulanziVyumba vizurii kuanzia elfu70-100,000 self kikubwa kuanzia semtema kushuka chuoni,ambavyo sio self ni elfu 50,mitaa ile ile ya chuoni mpaka juu juu semtema,na kule bwawani..kama unajiweza kwa nauli unaweza kusogea mpaka ngome,changalawe,kihesa,kwa beda,mwang'ingo...
Vimbweta vipo vya kutosha
Kitabu inategemea na course unayosoma ila upande wa law wapo vizuri..
Itunze boom yako nunua kiwanja kigonzile,zungushia uzio/miti ama ukuta.utakuja kunishukuru badae
ONYO: Mwezi wa 11 ikishanyesha tu mvua unaanza msimu ulanzi mpaka mweziwa 4 kaa nao mbali huu ndio unafanya wanafunzi wanafeli wanaanza kusingizia walimu..ulanzi litre 1=500 wa baridi kama umetoka kwenye fridge unashuka kooni kama bia laini..ukikaa kwenye kijumba hukumbuki kipindi kinacho endelea darasani mama muuza anaweza kuwapikia ugali hukohuko...iringa kumenoga na uhakika wa kupata DISCO upo ukiendekeza ulanzi
40,50,60,70 na kuendelea vip usharipoti chuoVp kwa kupanga karbu na chuo vyumba bei gn
Naripot iringa alhamic vp chumba cha 30,000 naweza kupata?40,50,60,70 na kuendelea vip usharipoti chuo
Uende ukasome huko binti ukazaneNaripot iringa alhamic vp chumba cha 30,000 naweza kupata?
Mimi wa iringa pia nicheki tuwe marafiki 0683120500Naripot iringa alhamic vp chumba cha 30,000 naweza kupata?
Pamoja snUende ukasome huko binti ukazane
PwMimi wa iringa pia nicheki tuwe marafiki 0683120500
Hahahaaaaaaaa Mkuu! Umenikumbusha mbali hasa vile vilabu vya kule Makanyagio pale Mkwawa University College of Education.Wa kule donbosco unatoka ugele na mtwivila
Vipo lkn sio maeneo ya chuo....utapata mjini ukoNaripot iringa alhamic vp chumba cha 30,000 naweza kupata?
OwkiiiiVipo lkn sio maeneo ya chuo....utapata mjini uko
Unasoma koz gan kaka BEDA?Me nasoma apo mkuu nimejitolea kuwa mwenyeji wako....mazingira ni mazuri sana na ni rafiki kwa kila mwanafunzi