Mazingaombwe Tuamini au Tusiamini?

Mazingaombwe Tuamini au Tusiamini?

Hivi mazingaumbwe si uchawi?!mi binafsi siamini
 
mAZINGAOMBWE NI UCHAWI, hakuna kufarijiana hapa. Kama wewe ni mmoja wao, ninakuambia mchana kweupe nawe ni mchawi.Tusidanganyane mazingaombwe ni uchawi
 
mAZINGAOMBWE NI UCHAWI, hakuna kufarijiana hapa. Kama wewe ni mmoja wao, ninakuambia mchana kweupe nawe ni mchawi.Tusidanganyane mazingaombwe ni uchawi

Sio kweli. Kwenye zama hizi za google na youtube you should be able to know how the supposed "magic" is done.
 
Mr Bean alichekesha pale Mwana mazingaombwe alipokuwa anachoma Sanduku kwa Visu Bean akatoka huku jamaa akiendelea kupachika visu kwenye Sanduku alilokuwemo Bean
 
Jamaa kashinda uoga wake, akaweka nyoka kwenye tundu la pua(non venimous, ovoid head), zikapitia njia za pumzi (larynx, then pharynx) na kutokea mdomoni. Cha ajabu nini hapo?
 
haha Russian Tell us you can Do kama huyo Jamaa? myself me Naona Ni Ajabu... i never seen this B4 naona mazingaombwe tu
 
mAZINGAOMBWE NI UCHAWI, hakuna kufarijiana hapa. Kama wewe ni mmoja wao, ninakuambia mchana kweupe nawe ni mchawi.Tusidanganyane mazingaombwe ni uchawi
Sio uchawi ni tricks. . . hua naangalia kipindi kinaitwa "Magicians secret revealed" hamna mtu anaekatwa kweli, anaevuja maji, anaetoweka wala nini. Na kuna movie inaitwa The double nadhani kama sikosei, tafuta uone kwamba ni utundu tu na sio uchawi wa aina yoyote ile.
 
 
Last edited by a moderator:
Most of the so called magic tricks are just illusions performed in a well coordinated manner such that the spectactors belive what the magician wants them to belive. I can teach you a few tricks.
 
Back
Top Bottom