Mazao

Mazao

GeorgeGab

Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
41
Reaction score
17
Habari wana Jamiiforum...
Natokea maeneo ya mkoa wa Katavi-Mpanda.... Aisee napenda kufanya biashara ya mazao lakini nakosa misingi jinsi ya kuanza.... Naombeni mawazo kutoka kwa wahenga.... Sijapenda kuanza kwa kuulizauliza huku maana naijua hulka ya watu wa maeneo ya huku wanapoona mtu anawazo la kufanya biashara kama yao... Asanteni, napokea mawazo yoyote. Nitayapembua mwenyewe....
 
Kwanza nikuweke sawa ili usipate tabu kuelewa mawazo ya watu watakaochangia. Unaposema biashara ya mazao ni swala pana.
Mfano mimi natokea mpanda nataka nijihusishe na biashara ya kununua nafaka.
Mimi natokea mpanda nataka nijihusishe na biashara ya matunda.
Mimi natokea mpanda nataka nijihusishe na biashara ya pamba.
Hayo yote ni mazao, ukiingia deep hata maziwa, nyama, mafuta yote ni mazao
 
Unataka udeal na mazao yapi? Ni jibu kwanza hilo swali kisha twende mbele.
 
Back
Top Bottom