Mazao yanayolimwa Kigamboni

Mazao yanayolimwa Kigamboni

Paul kimario

Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5
Reaction score
2
Wanajamii forum napenda mnishauri kwani nataka nianze kulima kigamboni sina shamba nataka nikodi naomba kujua gharama za kukodi shamba Kuandaa , mazao yanayostawi nk naombeni mnisaidie
 
Wanajamii forum napenda mnishauri kwani nataka nianze kulima kigamboni sina shamba nataka nikodi naomba kujua gharama za kukodi shamba Kuandaa , mazao yanayostawi nk naombeni mnisaidie
Nina shamba kigamboni mwasonga nakodisha msimu moja kwa laki moja lina maji na walinzi, kwa sasa zimebaki heka 10
 
Alzeti linastahili,tupia hapa namba zako basi
 
Back
Top Bottom