DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,472
Ningependa kufahamu ni aina gani ya mazao yanazalishwa huko Bagamoyo kwa mashamba ya wastani hadi makubwa.
Uchawi
Nafaka zote,mananasi matikiti,kuku n.k
Duh! Hili zao la chakula au biashara?
Lima bangi, inakolea kinoma na ina soko LA uhakikaNingependa kufahamu ni aina gani ya mazao yanazalishwa huko Bagamoyo kwa mashamba ya wastani hadi makubwa.
GuguchawiNingependa kufahamu ni aina gani ya mazao yanazalishwa huko Bagamoyo kwa mashamba ya wastani hadi makubwa.
Bamia nyanya chungu, mbaazi, ndimu na korosho!Ningependa kufahamu ni aina gani ya mazao yanazalishwa huko Bagamoyo kwa mashamba ya wastani hadi makubwa.
[emoji16][emoji16]!hata najua basi,nimesikia tu unastawi sana hasa maeneo ya mlingotini.
ChildishUchawi