Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 817
Habari zenu...
Kuna vitu vina Shangaza sana,hivi unapataje nguvu yakumfananisha mayele na hao wachezaji wenu wa mchongo.
Tulifurahia John bocco alipofikisha magoli 100, tukashindwa kuelewa kuwa hayo magoli yote ni ya misimu 6 kwanzia azam hadi leo yupo simba.
Sasa kuna mwanaume anaitwa fistoni kalala mayele sasa kashafikisha magoli 50 na hayo magoli niya misimu 2 tu toka ajiunge na yanga.
Ebu imagine akiendelea kuchezea yanga kwa misimu 6 siatafikisha magoli 300?
Alafu kuna watu wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka. Mayele asifananishwe na kinyago yeyote hapa Tanzania.
Leo tunafunga mjadala wa kumfananisha mayele na vinyago wenu. Mangi shangali hapa
Kuna vitu vina Shangaza sana,hivi unapataje nguvu yakumfananisha mayele na hao wachezaji wenu wa mchongo.
Tulifurahia John bocco alipofikisha magoli 100, tukashindwa kuelewa kuwa hayo magoli yote ni ya misimu 6 kwanzia azam hadi leo yupo simba.
Sasa kuna mwanaume anaitwa fistoni kalala mayele sasa kashafikisha magoli 50 na hayo magoli niya misimu 2 tu toka ajiunge na yanga.
Ebu imagine akiendelea kuchezea yanga kwa misimu 6 siatafikisha magoli 300?
Alafu kuna watu wanajitekenya wenyewe alafu wanacheka. Mayele asifananishwe na kinyago yeyote hapa Tanzania.
Leo tunafunga mjadala wa kumfananisha mayele na vinyago wenu. Mangi shangali hapa