Mayai

Mayai

Happiness1

Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
49
Reaction score
26
Nahitaji mayai ya kisasa kutka kwa mfugaji mwenye nayo tuwasiliane nipo Dar Kimara mwisho 0757277543
 
Dah...siku ikifika...bidhaa ikatoka kwa mzalishaji na kwenda kwa mlaji moja kwa moja...bila kupitia kwa huyu mlanguzi...mnyonyaji...mpanga bei...mvivu...mlaliaji.....tutakuwa tumepiga hatua muhimu ya uchumi wetu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom