Mayai ya Kwale Yanauzwa

Mayai ya Kwale Yanauzwa

Mkuu naomba nirudi na feedback, Nashukuru kwa kweli wale vifaranga ulioniuzia wamekua sana na sasa baadhi wameanza kutaga,katika vifaranga 74 niliopata 8 walikufa na 66 ndio ninao mpaka sasa,naanza kufurahi ulaji wa mayai ya kwale kwa afya na tiba pia,na soon nitaanza kula nyama ya quail baada ya kutotoresha na mimi vifaranga vipya!wadau wengi wanaokuja kwangu wamevutiwa na ndege hawa,na nimeshapata order ya vifaranga na mayai baada ya baadhi kuzisoma na kugundua sifa na umuhimu wa mayai ya kwale!Kikubwa hapa ni kuleta SHUKRANI NYINGI KWAKO,kwa ushirikiano ulionipatia mwanzo mpaka sasa!Mungu azidi kukubariki
 
Mkuu naomba nirudi na feedback, Nashukuru kwa kweli wale vifaranga ulioniuzia wamekua sana na sasa baadhi wameanza kutaga,katika vifaranga 74 niliopata 8 walikufa na 66 ndio ninao mpaka sasa,naanza kufurahi ulaji wa mayai ya kwale kwa afya na tiba pia,na soon nitaanza kula nyama ya quail baada ya kutotoresha na mimi vifaranga vipya!wadau wengi wanaokuja kwangu wamevutiwa na ndege hawa,na nimeshapata order ya vifaranga na mayai baada ya baadhi kuzisoma na kugundua sifa na umuhimu wa mayai ya kwale!Kikubwa hapa ni kuleta SHUKRANI NYINGI KWAKO,kwa ushirikiano ulionipatia mwanzo mpaka sasa!Mungu azidi kukubariki

Mkuu nafurahi sana kwa kuleta mrejesho wenye mtazamo chanya,nami nafurahi na kushukuru sana kwa kuweza kutuamini,kuweza kukubali ku share some ideas naomba tuwe na tamaduni hii na muendelezo huu chanya kwa maendeleo yetu binafsi hata kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu!ahsante sana!
 
Mkuu nafurahi sana kwa kuleta mrejesho wenye mtazamo chanya,nami nafurahi na kushukuru sana kwa kuweza kutuamini,kuweza kukubali ku share some ideas naomba tuwe na tamaduni hii na muendelezo huu chanya kwa maendeleo yetu binafsi hata kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu!ahsante sana!

Niungane nawe kufurahi,
Umesikia kesi nyingine ya Kito, kuna mwenzetu tena kaingizwa king na Kito.
 
Niungane nawe kufurahi,
Umesikia kesi nyingine ya Kito, kuna mwenzetu tena kaingizwa king na Kito.

Mkuu hii kitu nimeisoma humu,imeniumiza sana,Watanzania kukosa uaminifu ndio kunatuharibia kila kitu,hakuna kitu kizuri kama Uaminifu na Ukweli kwa jambo lolote unalo fanya!najua hapa Kito umefupisha ila unajaribu kugusia jamaha ambae ameleta usanii kwa wateja wake,jamaha wa Arusha!too bad indeed!hatuwezi endelea kwa tamaha kama za Kito na mambo ya uongo uongo!lazima kama wajasiliamali tufocus zaidi ya 50 years mbele,hauwezi kufanikiwa kwa vitamaha vya muda mfupi,me nashukuru Mungu watu wote tuliofanya nao biashara hakuna aliyeleta lalamiko zaidi ya shukrani!tumejaribu kua focused na serious kwa ili kaka
 
Niungane nawe kufurahi,
Umesikia kesi nyingine ya Kito, kuna mwenzetu tena kaingizwa king na Kito.

Ila kaka bila shaka huyu Kito aliweka contact zake humu,kwa nini victims wa utapeli wa huyu jamaha wasi mtrace,kumuaniaka wazi na hata kumchukulia sheria stahiki?haya mambo si ya kufumbia macho hata kidogo
 
Ila kaka bila shaka huyu Kito aliweka contact zake humu,kwa nini victims wa utapeli wa huyu jamaha wasi mtrace,kumuaniaka wazi na hata kumchukulia sheria stahiki?haya mambo si ya kufumbia macho hata kidogo

Niliwahi kumpigia simu, alipokea, tatizo ni kwamba waliofanyiwa utapeli ndio hawasimami kidete kutaka hela zao zirudi.
 
Niliwahi kumpigia simu, alipokea, tatizo ni kwamba waliofanyiwa utapeli ndio hawasimami kidete kutaka hela zao zirudi.

Nakubaliana na wewe mkuu,nadhani hawa jamaha waliotapeliwa wakisamama kidete huyu mtu lazima atalitema jasho la watu tu!kama namba zake zimesajiliwa kwa nini hasichukuliwe hatua za kisheria?
 
Wakuu heshima kwenu!samahani kama nitawakwaza wadau wenzangu wale ambao wamestaarabika,ila naomba Watanzania tuwe wastaharabu na kuheshimu kile mtu afanyacho,kuna mdau mmoja toka last week alikua anawasiliana nami kua anahitaji tray saba za mayai,nikamkusanyie mayai na juzi tukapatana nimpelekee Goba,cha ajabu juzi tumewasiliana vizuri,mwenzangu akawasha gari na kumpelekea mzigo Goba,ila kufika kule huyo mdau kila akipigiwa simu hapokei,mpaka leo hii simu yake inaita tu haipokelewi,kilichonishangaza na kunisikitisha kulikua na umuhimu gani yeye kuweka order ya mayai huku akijua kua hayuko tayari kiffha/kununua?ameniingiza gharama zisizo za lazima wala tija!kama kuna mambo alitaka kujifunza juu ya Kwale na mayai yake si bora angeuliza tu kuliko kukunitia loss ya mafuta,muda etc!tujaribu kua serious na tustaharabike Watanzania wenzangu!
 
Wakuu heshima kwenu!samahani kama nitawakwaza wadau wenzangu wale ambao wamestaarabika,ila naomba Watanzania tuwe wastaharabu na kuheshimu kile mtu afanyacho,kuna mdau mmoja toka last week alikua anawasiliana nami kua anahitaji tray saba za mayai,nikamkusanyie mayai na juzi tukapatana nimpelekee Goba,cha ajabu juzi tumewasiliana vizuri,mwenzangu akawasha gari na kumpelekea mzigo Goba,ila kufika kule huyo mdau kila akipigiwa simu hapokei,mpaka leo hii simu yake inaita tu haipokelewi,kilichonishangaza na kunisikitisha kulikua na umuhimu gani yeye kuweka order ya mayai huku akijua kua hayuko tayari kiffha/kununua?ameniingiza gharama zisizo za lazima wala tija!kama kuna mambo alitaka kujifunza juu ya Kwale na mayai yake si bora angeuliza tu kuliko kukunitia loss ya mafuta,muda etc!tujaribu kua serious na tustaharabike Watanzania wenzangu!

Pole sana mkuu,hzo ndo tabia zetu Watanzania,ni midhaha na porojo kila kukicha,tunashndwa elewa kuwa muda na maamuzi ndio jambo la msingi kwa maendeleo binafsi ya mwanadamu!cha msingi mkuu mtu atakapohitaji mayai/vifaranga,muambie awatangulizie advance hapo ndio utajua how serious she/he is!vingnevyo watakuchezea akili tu na kukupotezea muda mkuu
 
Mkuu mbona hizo tray 4 nilizokueleza uniifadhie naona unarusha kila siku?au kwale wako wamefikia ukomo wa kutaga?biashara haiendi hivyo ndugu,wajari wateja wako,kama hauna mzigo kwa sasa au una order kubwa bora useme hivyo,kuliko mambo ya subiri subiri!
 
Naomba kuuliza,soko la nyama ya kwale na mayai ya kwale hapa tanzania liko vipi kwa sasa?kwani nahitaji kufuga hawa ndege,nimesoma kuna mdau humu JF anasema soko la kwale kwa nchi ya kenya kwa sasa limeporomoka sana kutoka Kshs.100 sawa na tshs.2000 kwa yai moja hadi kufikia Kshs.10/= sawa na Tshs.200,naogopa ku-risk pesa na muda wangu,naombeni ushauri wenu wana JF.
 
Mkuu mbona hizo tray 4 nilizokueleza uniifadhie naona unarusha kila siku?au kwale wako wamefikia ukomo wa kutaga?biashara haiendi hivyo ndugu,wajari wateja wako,kama hauna mzigo kwa sasa au una order kubwa bora useme hivyo,kuliko mambo ya subiri subiri!

Mayai ya kware yanapatikana,bei per tray ni 20,000.
 
Back
Top Bottom